Enock gabriel
JF-Expert Member
- Apr 26, 2021
- 348
- 312
- Thread starter
- #21
Hapana, sionei huruma kupiga jani au mti, naweza kushiriki kuchinja japo kwa kujilazimisha na kujikaza sana(napo naweza kuchinja jamii ya ndege wa kufugwa tu, mfano kuku, bata, n.k, si wanyama wenye miguu minne, hao huwahurumia sana). Mimi ni mzaliwa wa Masasi, home hakuna manyanyaso ni amani tu.Nina miaka 23, nasoma degree!