becknature
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 606
- 752
Wakuu, kuna hali fulani hivi huwa nashindwa kuielewa kabisa yaani mara nyingi nikiwa kwenye mizunguko au naelekea mahali ambapo nafanya vitu vyangu, huwa nakutana na watu au mtu karibia kila siku katika muktadha mbali mbali, yani huwa nashangaa mtu huyo huyo kila siku namuona, mpaka nahisi huyo mtu anaweza hisi namfuatilia flani, kwamfano;
1. Unaweza kuwa unaingia mgahawani ukashangaa yeye ndyo anatoka au yupo ndani ,
2. Unaenda dukani kununua vocha ukashangaa na yeye yupo dukani ananunua kitu au ndyo anaondoka,
3. Unashangaa tu hata upo zako umetulia sehemu unamuona anapita na anakucheki,
4. Unapanda daladala unashangaa yeye ndio anashuka au yupo ndani,
5. Au upo zako misele ya mbali unatembea unamuona tena huyu hapa na hujui alipo tokea,
Yani inafika kipindi unaamua tu kumpa salamu huyo mtu mana mnakua mnaonana kamavile mnafahamina au mnafanya kazi sehem moja wakati hamfahamiani kabisa.
Kusema ukweli hii hali inatokea toka mda sana na sio kwa mtu mmoja, kuna kipindi inakwama alafu anatokea mtu mwingine tena inakua hvyo hivyo, kama kuna mtu anafahamu au uelewa kuhusu hii kitu nifahamishe au amna shida ni kwamba tu ratiba zinafanana,nakaribisha mawazo yenu.
1. Unaweza kuwa unaingia mgahawani ukashangaa yeye ndyo anatoka au yupo ndani ,
2. Unaenda dukani kununua vocha ukashangaa na yeye yupo dukani ananunua kitu au ndyo anaondoka,
3. Unashangaa tu hata upo zako umetulia sehemu unamuona anapita na anakucheki,
4. Unapanda daladala unashangaa yeye ndio anashuka au yupo ndani,
5. Au upo zako misele ya mbali unatembea unamuona tena huyu hapa na hujui alipo tokea,
Yani inafika kipindi unaamua tu kumpa salamu huyo mtu mana mnakua mnaonana kamavile mnafahamina au mnafanya kazi sehem moja wakati hamfahamiani kabisa.
Kusema ukweli hii hali inatokea toka mda sana na sio kwa mtu mmoja, kuna kipindi inakwama alafu anatokea mtu mwingine tena inakua hvyo hivyo, kama kuna mtu anafahamu au uelewa kuhusu hii kitu nifahamishe au amna shida ni kwamba tu ratiba zinafanana,nakaribisha mawazo yenu.