hahaahahahahahah!hebu ni pm mkulu.
inaonekana unanifahamu sana
Geoff, hata kama amekubali kuingia na wewe ndani haina maana ndiyo amejikabidhi kwako 100%; remember huyo dada anakuwa na rights zake kwa muda wote ambao mtakuwa pamoja hata kama mko katikati ya tendo bado anaweza kusuggest chochote kile ilimradi kiko ndani ya uwezo wenu... sometimes anaweza hata kukataa kuendelea na ikiwa hivyo inabidi uache kuendelea na tendo. ni vigumu ikitokea lakini ndi haki zake... nina imani hata wewe sometimes unaweza kuchukua demu halafu ukaamua kutofanya, au ukaishia katikati... all those are rights and they are equal kwako na kwake!!!
Nijuavyo mimi, huwa wako very cooperative if you press the right button![/QUOTE]
basi mimi nina mkosi!
haiwezekani kwamba demu yoyote,nikitaka kupiga mashine,my first TOUCH TO HER SHE MUST BE RELUCTANT!that iz my point guys
Pole sana labda mjenenge unauweka mbele sana kiasi cha kumtisha mtu
unajua the problemz with my ladies ni kwamba nikiwa nao ''mjengoni'' initially wanabehave utadhani nimewalazimisha bwana,lol!
I SEE!point taken
kwa kweli sielewi kabisa!
Mtu umeshamtongoza,KAKUBALI.mnaongozana hadi hoteli,au geto ''kupiga mambo yetu yale'',lakini cha ajabu sasa,mnapotaka kuanza ''kupiga mambo yetu yale LAZIMA UTUMIE NGUVU TENA''!
.........sasa sielewi tatizo huwa nin,na imeshatokea kwa wanawake zaidi ya wawili sasa!hebu wazoefu nipeni somo hapa
jaribu kuwa mvulivu na maandalizi mazuri ukimshika hapa na pale sehemu mbali mbali za mwili wake ili kujua wapi ni startegic area yake then atakuachia mwenyewe. Kuna wengine akifika tu anvua kila kitu na analala kusubiri mchezo
kwa hiyo ''ninyi wazungu-weusi'' hamfanyi kabisa kitu kama hii?
Kwahiyo na wewe kule Mafinga ulifanyaje mkuu? Maana gonga gonga mwenzio nae analeta maexperience yake hapa kwa aliowaninii.!!!!!
kwa kweli sielewi kabisa!
Mtu umeshamtongoza,KAKUBALI.mnaongozana hadi hoteli,au geto ''kupiga mambo yetu yale'',lakini cha ajabu sasa,mnapotaka kuanza ''kupiga mambo yetu yale LAZIMA UTUMIE NGUVU TENA''!
.........sasa sielewi tatizo huwa nin,na imeshatokea kwa wanawake zaidi ya wawili sasa!hebu wazoefu nipeni somo hapa
...rafiki, fanya uoe uepukane na kutumia hayo maguvu. Utayahitaji (maguvu hayo) kwenye fainali za uzeeni.
naona kama sieleweki hapa wakuu!hoja yangu mimi ni kwanin dem naenda nae gesti,nikifika kule naanza kwa kumlazimisha?...rafiki, fanya uoe uepukane na kutumia hayo maguvu. Utayahitaji (maguvu hayo) kwenye fainali za uzeeni.
hapa unazungumzia ustaarabu wa demu kujua kwamba akishaingia chumbani ni sharti AVUE,AU VIPI?na si kuanza tena longolongo!umesomeka mkuuHehehehehe...no means no homeboy. Huwezi kulazimisha kama anakataa hata kama alikubali kwenda chumbani na wewe. Ukweli wa mambo ni kwamba hilo suala halina cha uzungu, uweusi, uhindi, uarabu wala uyahudi. Ni suala la ustaarabu na kustaarabika tu.