Nashauriana na wanasheria wangu kufungua kesi ya kuzimwa kwa mtandao na kudai Tsh. Bilioni 8

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,186
103,704
Kichwa cha habari kinahusika,

Tupo hatua za mwanzo kabisa kuona jinsi tunavyoweza kuwashitaki wahusika waliozima mitandao ambapo ni takribani wiki sasa.

Ni jopo la wanasheria wangu. Tunafikiria kudai fidia ya Bilioni 8 kutokana na hasara tuliyopata kwa kuzimwa mtandao tena bila kushirikishwa.

Kwa yeyote anayetaka kujumuishwa kwenye hii kesi akaribie sana.
 
Kuna sheria na matatizo ya kiufundi, hapo kwenye matatizo ya kiufundi ndipo wanapo chukua point tatu. Hamna kesi hapo mkapumzike.
Matatizo ya kiufundi wataenda kutoa ushahidi usio na shaka mahakamani na jinsi waliutaarifu wateja hilo tatizo la kiufundi.
 
Kichwa cha habari kinahusika,

Tupo hatua za mwanzo kabisa kuona jinsi tunavyoweza kuwashitaki wahusika waliozima mitandao ambapo ni takribani wiki sasa.

Ni jopo la wanasheria wangu. Tunafikiria kudai fidia ya Bilioni 8 kutokana na hasara tuliyopata kwa kuzimwa mtandao tena bila kushirikishwa.

Kwa yeyote anayetaka kujumuishwa kwenye hii kesi akaribie sana.
Unahitaji kuwa na conreate evedence mkuu.

Kama kuna ushahidi usio na kutia shaka kwamba umepata hasara hiyo utalipwa.
Na tunaomba ushahidi ulio nao ili tukushauri hapahpa, la sivyo hao wajuba wanaitwa wakili watakuongezezea machungu. hawakatai deal hao
 
Haujawahi kurukwa Futi 100 hadi ukashangaaa nakwambia..

nendeni mahakamani halafu watakuja wakiwa wame relax kbs

watasema "hawajazima mitandao" na huduma ilikua kama kawaida

ila ni kwa baadhi tu ya maeneo walikua wana experience shida ya low network

na wanalishughulikia,kisha watakupa mfano wa mkoa wa Namtumbwi A huko mtandao

ulikua unasoma 4G+,watasema tena Mkoa Nambilimbi K ndio kabisa mtandao ulikua 5G KBSA

watakuonyesha na evidence kwenye wayasemayo,kisha utapigwa Vocabulary mbili tatu za ki I.T

ukitoka hapo wewe na hao wazeee wa HKL mnatoleana macho mnaanza kuwaza RUFAA kuwa kesi mmeonewa.
 
Kichwa cha habari kinahusika,

Tupo hatua za mwanzo kabisa kuona jinsi tunavyoweza kuwashitaki wahusika waliozima mitandao ambapo ni takribani wiki sasa.

Ni jopo la wanasheria wangu. Tunafikiria kudai fidia ya Bilioni 8 kutokana na hasara tuliyopata kwa kuzimwa mtandao tena bila kushirikishwa.

Kwa yeyote anayetaka kujumuishwa kwenye hii kesi akaribie sana.
Mbona WALITOA TAARIFA au hukuisikia... WALISEMA NI JAMBO LA MUDA MFUPI tu.
 
Ndio mtajua kuwa kesi za namna hii wakili wa kesi lazima nae awe I.T

kama wakili zako ndio hawa wazee wa History na kiswahili yani hata setting za APN hawajui

asee mngetulizana tu maana hiyo kesi hata ningekua mimi ndio mlalamikiwa,ningekuja mahakamani huku natafuna ball gum
 
Kichwa cha habari kinahusika,

Tupo hatua za mwanzo kabisa kuona jinsi tunavyoweza kuwashitaki wahusika waliozima mitandao ambapo ni takribani wiki sasa.

Ni jopo la wanasheria wangu. Tunafikiria kudai fidia ya Bilioni 8 kutokana na hasara tuliyopata kwa kuzimwa mtandao tena bila kushirikishwa.

Kwa yeyote anayetaka kujumuishwa kwenye hii kesi akaribie sana.
mliompigia kampeni lisu unaendeleaje hapo magogoni
 
Back
Top Bottom