Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,407
- 40,471
Uwe na kumbu kumbu kuna siku utasema vingine😀😀
Uwe na kumbu kumbu kuna siku utasema vingine😀😀
Yeah wajinga tupo ila pia busara zetu hazijaegama kwenye kutetea upumbavu kwa kichaka cha ndoa!Ata wajinga na wapumbavu nao wanao na kuolewa vile vile.
Kuna ambae hayupo kwenye ndoa ila ana busara na hekima za kumshauri aliekwenye ndoa kuliko unavyo fikiria.
Mbona padri anafungisha ndoa na hana ndoa?Tumekuwa tunapokea changamoto mbalimbalai za ndoa hapa JF.
Hata hivyo kumekuwa na wimbi ka vijana wadogo kuingilia kati na kuchangia kwa hoja yao moja tu; Hapo huna Ndoa au Muache mke/mume.
Hii ni kitu cha kusikitisha sana.
Kwani kuna wachangiaji wengi wa masuala ya ndoa ambao hawajaoa au pengine hawana mafunzo yoyote ya ndoa yaliyo rasmi au pengine yale ambayo sio rasmi (uzoefu)
Ningependekeza: Masuala ya changamoto za ndoa yachangiwe zaidi na walioko kwenye Ndoa; wale serengeti boys & girls subirini wakati wao kwani wengi ni wapotoshaji.
Mapadree, wasifungishe ndoa wala kuhusika na mambo ya ndoa kwa muwa hawajuwi ndoa kwa kina.Tumekuwa tunapokea changamoto mbalimbalai za ndoa hapa JF.
Hata hivyo kumekuwa na wimbi ka vijana wadogo kuingilia kati na kuchangia kwa hoja yao moja tu; Hapo huna Ndoa au Muache mke/mume.
Hii ni kitu cha kusikitisha sana.
Kwani kuna wachangiaji wengi wa masuala ya ndoa ambao hawajaoa au pengine hawana mafunzo yoyote ya ndoa yaliyo rasmi au pengine yale ambayo sio rasmi (uzoefu)
Ningependekeza: Masuala ya changamoto za ndoa yachangiwe zaidi na walioko kwenye Ndoa; wale serengeti boys & girls subirini wakati wao kwani wengi ni wapotoshaji.
Kwa hiyo unamaanisha hata mume/mke kumpelekea matatizo yake ya ndoa padre/mchungaji asiye na mke kabisa haileti picha nzuri?Tumekuwa tunapokea changamoto mbalimbalai za ndoa hapa JF.
Hata hivyo kumekuwa na wimbi ka vijana wadogo kuingilia kati na kuchangia kwa hoja yao moja tu; Hapo huna Ndoa au Muache mke/mume. Hii ni kitu cha kusikitisha sana.
Kwani kuna wachangiaji wengi wa masuala ya ndoa ambao hawajaoa au pengine hawana mafunzo yoyote ya ndoa yaliyo rasmi au pengine yale ambayo sio rasmi (uzoefu)
Ningependekeza: Masuala ya changamoto za ndoa yachangiwe zaidi na walioko kwenye Ndoa; wale serengeti boys & girls subirini wakati wao kwani wengi ni wapotoshaji.
Ushauri wako ni sawa na kukuta mtu gari imepata pancha unamwambia toa tairi tupa kule ukanunue mpyaKwani nikikwambia muache au usimuache, sio ushahuri ?
Unataka kusikia positive response tu
Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
Ndoa hutemea zaidi, MATURITY, reasoning na experience (direct or indirect)Nazani inategemea zaidi uwezo wa kusababu(reasoning) na sio experience.Ndoa ilianzishwa na Mungu kwaiyo namna ya kuiendesha,kutendeana na mambo ya kuepuka yapo wazi kwenye maandiko matakatifu ambayo hata sisi uliotuita serengeti boys tunasoma.Mfano Yesu hakuwai kuwa ktk mahusiano ya kimapenz lakn ushaur wake unategemeka katika ndoa.