demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Hapa hamna timu kabisa unaweza kuta mmeikamia mechi kumbe hata madogo wa U20 wangeweza kuitafuna kirahisi. Kupangiwa kiTeam ambacho kimemaliza ligi ya Nigeria nafasi ya ni sawa na kucheza na Polisi Tanzania ya Ligi KUU Tanzania Bara.
Inaonekana hii timu imepata mbeleko ya kubeba kombe la NPFL ndio maana akapata nafasi ya ushiriki. Hebu tazama nafasi yao ya Ligi msimu ulio pita.
Yaani timu ya nafasi ya sita huko ndio tuwawekee full mkoko, Huo utakuwa 1. Uonevu 2. Matumizi mabaya ya wachezaji na 3. Sio fair play.
Na hata ushindi wao ni kuwafunda timu zilizo chini ya nafasi yake katika msimamo wa Ligi.
Inaonekana hii timu imepata mbeleko ya kubeba kombe la NPFL ndio maana akapata nafasi ya ushiriki. Hebu tazama nafasi yao ya Ligi msimu ulio pita.
Yaani timu ya nafasi ya sita huko ndio tuwawekee full mkoko, Huo utakuwa 1. Uonevu 2. Matumizi mabaya ya wachezaji na 3. Sio fair play.
Na hata ushindi wao ni kuwafunda timu zilizo chini ya nafasi yake katika msimamo wa Ligi.