demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Ilikuwapo mipango na bado ipo mipango ya kuhakikisha team ipelekwe nje ya Tanzania kwa ajili ya maandalizi.
Binafsi nimewaandikia viongozi wangu wa klabu wahakikishe wanaibakisha team hapa hapa Tanzania kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao.
Kwa sasa Tanzania tumeona kama fashion kwenye kufanya maandalizi nje ya nchi bila kujali tija ya kufanya maandalizi huko nje.
Wenzetu kabla ya kufanya maandalizi wanajua kuwa watacheza mechi ngapi za kujipima nguvu huko walipo. Na pia hizo mechi zitategemea pia muda alio tumia mwalimu kuingiza mbinu zake mpya katika timu.
Nimependekeza kuwa kutokana na ufinyu wa muda sioni sababu ya kusafiri tarehe 16.07.2022 kwenda nje na baada ya wiki 3 kabla ya tarehe 06.08.2022 kuna mechi ya kilele cja Mwananchi.
Je, wiki 3 zinaenda kusaidia nini kama sio kupoteza rasilimali pesa?
Je, suala la kuchosha wachezaji kwenye safari halito disturb rithnm ya timu?
Je kwanini tusitumie hali ya hewa iliyopo hapa Dar es Salaam ili kuhakikisha miili ya wachezaji wageni ina adjust vyema na mazingira ya hali ya joto lililopo?
Muda ni mchache kwakweli na mambo bado ni mengi.
Ni matarajio yetu mashabiki kuona klabu inasitisha zoezi zima la safari ya nje kwa ajili ya pre season.
Hakunaga pre-season ya wiki 3.
Binafsi nimewaandikia viongozi wangu wa klabu wahakikishe wanaibakisha team hapa hapa Tanzania kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao.
Kwa sasa Tanzania tumeona kama fashion kwenye kufanya maandalizi nje ya nchi bila kujali tija ya kufanya maandalizi huko nje.
Wenzetu kabla ya kufanya maandalizi wanajua kuwa watacheza mechi ngapi za kujipima nguvu huko walipo. Na pia hizo mechi zitategemea pia muda alio tumia mwalimu kuingiza mbinu zake mpya katika timu.
Nimependekeza kuwa kutokana na ufinyu wa muda sioni sababu ya kusafiri tarehe 16.07.2022 kwenda nje na baada ya wiki 3 kabla ya tarehe 06.08.2022 kuna mechi ya kilele cja Mwananchi.
Je, wiki 3 zinaenda kusaidia nini kama sio kupoteza rasilimali pesa?
Je, suala la kuchosha wachezaji kwenye safari halito disturb rithnm ya timu?
Je kwanini tusitumie hali ya hewa iliyopo hapa Dar es Salaam ili kuhakikisha miili ya wachezaji wageni ina adjust vyema na mazingira ya hali ya joto lililopo?
Muda ni mchache kwakweli na mambo bado ni mengi.
Ni matarajio yetu mashabiki kuona klabu inasitisha zoezi zima la safari ya nje kwa ajili ya pre season.
Hakunaga pre-season ya wiki 3.