johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,874
Tanzania ni kimbilio la wengi wanaoitafuta amani na siyo kinyume chake.
Napendekeza viongozi wa kamati ya amani nchini , mwenyekiti shehe wa mkoa wa Dsm Alhad Mussa Salumu na askofu Gamanywa wa Huduma ya Hakuna Lisilowezekana kukaa na viongozi wa Chadema na kuwaombea.
Kitendo cha baadhi ya waliokuwa wabunge wa Chadema kuomba ukimbizi kinapaswa kuingiliwa kati na viongozi wa dini katika kuhakikisha taswira ya Tanzania haitafsiriwi vibaya nje ya mipaka ya nchi yetu.
Maendeleo hayana vyama!
Napendekeza viongozi wa kamati ya amani nchini , mwenyekiti shehe wa mkoa wa Dsm Alhad Mussa Salumu na askofu Gamanywa wa Huduma ya Hakuna Lisilowezekana kukaa na viongozi wa Chadema na kuwaombea.
Kitendo cha baadhi ya waliokuwa wabunge wa Chadema kuomba ukimbizi kinapaswa kuingiliwa kati na viongozi wa dini katika kuhakikisha taswira ya Tanzania haitafsiriwi vibaya nje ya mipaka ya nchi yetu.
Maendeleo hayana vyama!