Nashauri Serikali isitishe ujenzi wa daraja la Busisi, SGR na Makao Makuu Dodoma

Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.

Lakini makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.

1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!

2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.

3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.

4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.

N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi

Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.
Ma bus , malori majenereta oye
 
Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.

Lakini makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.

1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!

2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.

3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.

4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.

N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi

Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.
Pole sana, wivu utakuua. Yaani ndio shida ya vyeti fake. Mwenye elimu yake hawezi kuandika uharo huu eti daraja la Busisi linaenda uswekeni. Sijui kwa nini mods hamfuti uzi wa namna hii.
 
Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.

Lakini makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.

1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!

2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.

3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.

4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.

N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi

Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.
Sijawai kanyaga kivuko Cha busisi Ila sijui tulikuwa wapi tukachelewa Jenga hili daraja ni muhimu kuliko tunavyodhani ....hayo mandege ndo upuuzi mtupu
 
Acha tufe njaa, hii miradi iendelee hakuna namna, tulishaianza lazima iishe hatuwezi kulaza hela...haijalishi aliyeanza alipatia au alikosea..

Hawa akina Nape ni vibaraka kupenyeza agenda za watu wapate kuishi, kwa serikali kusupply hela huko means wao hawana kitu na miradi mipya itabidi isubiri..

Mama malizia viporo, achana na hizi kelele za wafukuza upepo....mengine tutafanya tu mbele huko, wewe tukamue mpaka damu zitoke viporo viishe tuanze mengine. Mipango ha Mungu huwa ni mingi, tumalize tulichoanza hatutaki biashara ya kulima hapa na pale kila siku...
Binafsi naunga mkono hoja yako mkuu kwa asilimia 100%. Miradi yote ikamilishwe, hata Kama kwa sasa haitakuwa na faida lakini huko mbele itasaidia, kuiacha ni hasara kubwa zaidi
 
Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.

Lakini makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.

1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!

2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.

3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.

4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.

N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi

Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.
Njoo nikupe dozi, utapona na kuendelea na maisha kama watu wengine.
 
Acha tufe njaa, hii miradi iendelee hakuna namna, tulishaianza lazima iishe hatuwezi kulaza hela...haijalishi aliyeanza alipatia au alikosea..

Hawa akina Nape ni vibaraka kupenyeza agenda za watu wapate kuishi, kwa serikali kusupply hela huko means wao hawana kitu na miradi mipya itabidi isubiri..

Mama malizia viporo, achana na hizi kelele za wafukuza upepo....mengine tutafanya tu mbele huko, wewe tukamue mpaka damu zitoke viporo viishe tuanze mengine. Mipango ha Mungu huwa ni mingi, tumalize tulichoanza hatutaki biashara ya kulima hapa na pale kila siku...

"Ujinga ndio uhai wa CCM, ukipambana na CCM utakuwa umepambana na ujinga."

Hiyo signature yako tu ndo ina mantiki, basi !
 
Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.

Lakini makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.

1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!

2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.

3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.

4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.

N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi

Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.
Kiukweli unahitaji maombezi... Eeh Mungu Baba utuhurumie sisi waja wako kwa kuwa hatujui tulitendalo
 
Hapa sijui kama umeelewa ulichoandika, unamlaumu Magufuli kusitisha ujenzi wa miradi ambayo ilikuwa bado haijaanza, ila nawe unataka hata hiyo iliyoanza nayo isitishwe!

Halafu tena bado unashangaa kwanini wanataka kuanzisha mipya wakati iliyoanzishwa na magufuli bado haijakamilika, sasa hapa uko kundi lipi?
Miradi ya majengo ya NHC ulikuwa bado haijaanza?
 
Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.

Lakini makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.

1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!

2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.

3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.

4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.

N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi

Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.
Ushaur wako ni mzur Sana mkuu Ila umesahau kitu Cha muhim sana kushauri. Ungesema pia nashauri yule mkuu astop kudhurura na mindege nje ya nchi kupunguza gharama leo yuko uku kesho yuko kule yaaan kupuyanga tu.

Na pia ungeshauri tanesco na idara ya maji, nao kwake wampelekee mgao wa umeme na mgao wa maji Hil kusud na yy aone inavyo pain...
 
R
Kwa mujibu wa Nape Nnauye nchi yetu inatumia shilingi bilioni 800 kwa mwezi kulipa madeni. Halafu shilingi bilioni 600 hutumika kila mwezi kulipa mishahara ya watumishi serikalini.

Lakini makusanyo kwa mwezi ni kati ya trilioni 1.2 - 1.3 kwa mwezi. Hivyo fedha hazitoshi kuendelea na miradi yote hiyo. Tunapaswa kama taifa kuachana na miradi mikubwa isiyo kuwa na tija.

1. Daraja la Busisi tuachane nalo kabisa. Kwasbb halitarajiwi kuleta tija yoyote ya kiuchumi hata likikamilika maana linaenda kijjjini (interior) Busisi. Mabilioni ya fedha yatapotea bure kabisa!

2. Ujenzi wa makao makuu Dodoma usitishwe hadi hapo serikali itakapokuwa na uwezo wa kifedha.

3. SGR iishie Morogoro hapo hapo panatosha. Awamu ya 8 itakuja kuendeleza kutoka Morogoro kwenda mbele.

4. Ndege zilizonunuliwa zinatosha. Ndege 5 ambazo ziko kwenye mpango wa kuongezwa ifikapo 2023 tuachane nazo.

N.B. JNHPP ndiyo mradi pekee ambao inabidi tuendelee kupambana nao kwa sasa maana karibia utakamilika. Japo kuna changamoto ya tabia nchi

Natanguliza shukurani endapo ushauri wangu utafanyiwa kazi.
reasoning capacity yako ni ndogo sana, cant waste my time hata kukuelewesha...ungeweza kuandika kwa ku pose swali kama hiyo miradi ina maana au laa hapo ningeweza kutoa maoni yangu kwann ina umuhimu.
 
Sidhani kama busisi unaijua au unapayuka tu kwenye keyboard, unajua ni malori mangapi yanapita hapo kwa siku kwenda nchi kama Uganda Rwanda au burundi?, nisiiandike sana ila ninachokiona una roho ya chuki na wivu umekujaa.
Binafsi sioni tija yoyote kutumia mabilioni ya shilingi kujenga daraja kwenda Busisi. Kiuchumi hailipi. JPM alipumbazwa na upendeleo wa ukabila.
 
Nyinyi na huyo bibi ako Samia mmeshafeli mnatapatapa daraja la Busisi linaenda kijijini akili yako imejaa kamasì! Si mulimuona Magufuli hafai amewaachia muendelee na Msoga wenu!
Hahaha..yani jamaa mjinga, watu kama hawa unaweza kuta wana key positions serikalini huko..binafsi huwa sishangai kwann waafrika sisi ni masikini sana...daraja la bususi ni moja ya miradi strategic sana..kama unataka kuikamata Uganda, Burudi, and more importantly south sudan( sababu ni monopoly ya kenya kibiashara kupitia bandari ya mombasa) then daraja la busisi litasaidia sana sana, unajenga reli ifike Mwanza then unahitaji urahisi wa kwenda south sudan na pale kigongo kama Magufuli asingeamua kujenga hilo daraja kungekuwa na traffic ya hatari ya malori. Huyu jamaa ni mjinga mno. Angenyonya hata mwaka mmoja tu probably cognitive capacity yake isingekuwa hivyo. Ndio shida ya kunyonya maziwa ya kopo.
 
29 Reactions
Reply
Back
Top Bottom