Bill Lugano
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 1,186
- 6,402
- Thread starter
- #21
Hiyo 1,000,000 ya kuwapa si issue. Issue ni bado ntahitajila kusimama kuwapata. Nachotaka ni safari ambayo haina kusimama simama. So iwepo barabara ya mwendo kasiBarabara yote kuanzia Dar mpaka Dom ukipigwa tochi nyingi sana labda 2 au 3. Sasa boss mkubwa kama wewe ulishindwa kutenga 100k ya faini kweli?
Kiduku Lilo naona umeanza kuchuja sasa
Unforgetable