Nashauri serikali ijenge barabara ya mwendo kasi ambayo ita-charge hata Tsh 1000 kwa Km 1, ila speed isipungue 150 kwa saa

Barabara yote kuanzia Dar mpaka Dom ukipigwa tochi nyingi sana labda 2 au 3. Sasa boss mkubwa kama wewe ulishindwa kutenga 100k ya faini kweli?

Kiduku Lilo naona umeanza kuchuja sasa
Unforgetable
Hiyo 1,000,000 ya kuwapa si issue. Issue ni bado ntahitajila kusimama kuwapata. Nachotaka ni safari ambayo haina kusimama simama. So iwepo barabara ya mwendo kasi
 
Sasa kinakuuma nini kufika sawa na magari mengine?? Hapo ujue uwezo wako wa uendeshaji na technic za barabarani ni mdogo sana!
Unvyoonekana unajua kukanyaga tuuu na kulipeleka kasi kitu ambacho kinasababisha ajali kila siku. na ndio maana zinawekwa hizo sheria za 50 kwa ajili ya watu kama ninyi mnaowaza barabarani ni mashindano kumbe barabarani ni technic.... kuna sehemu ambazo automatically hata kama hakuna kibao cha 50 ni lazima upunguze mwendo hata zaidi ya 50! eti unaenjoy kusoma 240 sped!! kiruuuuuuuuu
 
Mkuu kiduku,hivi utaendelea kuturusha robo kwa "mitano tena" au tuzingatie upandaji wa bei ya mafuta ya kupika?The big potato himself!
 
Unajua kutumia ndege kunachosha sana. Binafsi nmepanda ndege kwa safari mara nyingi kuliko hata kiwango ambacho nimetembea kwa miguu kwenda umbali wa kms 5.

Mpaka inachosha.sioni jipya kwenye hizi ndege. Last week nlikuwa naenda Dodoma nikaona niende na Range Rover nisitumie ndege ili pia nipate ku enjoy mazingira.

Actually wazo hilo nililipata asubuhi tu maana tayari nlikuwa na ticket ya ndege nikaamka nikawaza why dont iIuse my car? Basi nikarudisha ticket kwenye kabati nikapanga nguo zangu nikawasha gari ndo nikaanza ondoka.

Shida ilianzia maeneo flani hivi Mbezi kulikuwa na congestion moja ya ajabu sana mwendo ulikuwa kama tupo kwenye matembezi ya mshikamano, toka saa mbili nakuja fika Morogoro saa saba.

Barabara zimejaa traffic na sheria za mwendo usiozid 50 kms. Huwezi imagine nimefika Morogoro muda ule ule kama Vitz, Rav4, Harrier, Nissan zilizofika. Inaumiza sana. Gari yangu Range Rover nliyotumia ina speed 240+ inafika muda sawa na usafiri wenye speed 180.

Hii barabara nadhani imeshashindikana. Mi nashauri serikali ijenge barabara ya mwendo kasi ambayo hiyo iwe ina charge hata tsh 1000 per km ili sisi wengine wenye magari tuwe tunatumia hiyo. Na kunakuwa na sheria kuwa ukitumia hiyo barabara speed isipungue kms 150 kwa saa.

Hii itasaidia hata sisi wenye magari yetu tuwe tuna enjoy maana inaudhi sana unasoma kwenye dashboard kms 240 ila njiani vimejaa vibao kuwa usizidishe speed kms 50 kwa saa. Unawaza hizi speed 190 unamwachia nani?

Huwa nawaza, je haitafikia hata gari zikaanza kuzoea kutembea speed ndogo kiasi uki engage mpaka 160 inagoma?

Serikali itengeneze barabara za mwendokasi zitakuwa pia ni chanzo kizuri cha mapato. Kama lile daraja la baharini la Salenda tuwe tunalipia 10,000 kwa siku ili sasa watu wasije wakawa wanajazana kule na kusababisha foleni.

Nashauri hata lile daraja la Ubungo kwenye junction tuwe tunalipia hata tsh 5,000 tu kwa mpito mmoja.

Kila napokuwa barabarani niwe na Range, BMW, GMC, Benz au VW nikiona hizi Toyota, Nissan, Isuzu, Subaru naumia kuwa zinafika safari moja na mimi ninayeendesha RR au BMW? Naona kama gari zangu zinakuwa ktk kundi moja na huo usafiri wa umma wa kitanzania. Si sahihi.
Nyie huyuuuuuuu ,,,njaa inauma watu hatujakunywa chai
 
Mafuta ya kupikia yamepanda bei? Lini tena?
Hata mimi nimejua hilo nilipofika hapa kibandani kwa mamalishe.Ameng'ang'ania nimlipe shilingi mia saba kwa bakuli la kande badala ya mia tano.Anadai mafuta ya kula ndiyo sababu ya kupanda bei ya bakuli la kande.Nimemwambia kama ni mafuta mbona mimi ninayo mwilini!Kesho asiniwekee.
 
Kiduku Lilo, kukosa kuajiriwa na kutembea na vyeti miaka mitatu tu ndiyo umekuwa mwehu hivi? Benz lipi tena jamani!!?
 
Unajua kutumia ndege kunachosha sana. Binafsi nmepanda ndege kwa safari mara nyingi kuliko hata kiwango ambacho nimetembea kwa miguu kwenda umbali wa kms 5.

Mpaka inachosha.sioni jipya kwenye hizi ndege. Last week nlikuwa naenda Dodoma nikaona niende na Range Rover nisitumie ndege ili pia nipate ku enjoy mazingira.

Actually wazo hilo nililipata asubuhi tu maana tayari nlikuwa na ticket ya ndege nikaamka nikawaza why dont iIuse my car? Basi nikarudisha ticket kwenye kabati nikapanga nguo zangu nikawasha gari ndo nikaanza ondoka.

Shida ilianzia maeneo flani hivi Mbezi kulikuwa na congestion moja ya ajabu sana mwendo ulikuwa kama tupo kwenye matembezi ya mshikamano, toka saa mbili nakuja fika Morogoro saa saba.

Barabara zimejaa traffic na sheria za mwendo usiozid 50 kms. Huwezi imagine nimefika Morogoro muda ule ule kama Vitz, Rav4, Harrier, Nissan zilizofika. Inaumiza sana. Gari yangu Range Rover nliyotumia ina speed 240+ inafika muda sawa na usafiri wenye speed 180.

Hii barabara nadhani imeshashindikana. Mi nashauri serikali ijenge barabara ya mwendo kasi ambayo hiyo iwe ina charge hata tsh 1000 per km ili sisi wengine wenye magari tuwe tunatumia hiyo. Na kunakuwa na sheria kuwa ukitumia hiyo barabara speed isipungue kms 150 kwa saa.

Hii itasaidia hata sisi wenye magari yetu tuwe tuna enjoy maana inaudhi sana unasoma kwenye dashboard kms 240 ila njiani vimejaa vibao kuwa usizidishe speed kms 50 kwa saa. Unawaza hizi speed 190 unamwachia nani?

Huwa nawaza, je haitafikia hata gari zikaanza kuzoea kutembea speed ndogo kiasi uki engage mpaka 160 inagoma?

Serikali itengeneze barabara za mwendokasi zitakuwa pia ni chanzo kizuri cha mapato. Kama lile daraja la baharini la Salenda tuwe tunalipia 10,000 kwa siku ili sasa watu wasije wakawa wanajazana kule na kusababisha foleni.

Nashauri hata lile daraja la Ubungo kwenye junction tuwe tunalipia hata tsh 5,000 tu kwa mpito mmoja.

Kila napokuwa barabarani niwe na Range, BMW, GMC, Benz au VW nikiona hizi Toyota, Nissan, Isuzu, Subaru naumia kuwa zinafika safari moja na mimi ninayeendesha RR au BMW? Naona kama gari zangu zinakuwa ktk kundi moja na huo usafiri wa umma wa kitanzania. Si sahihi.
Nimeangalia mwandiko tu, nikajua wewe ni jirani yangu kabisa huku Kitwechenkula, Kyerwa.
 
Nilivyo soma tu nimehisi GINIMBI ila unaogopa faini ya elf 30 utembee speed 240.

Ila pongezi tajiri serikali itawajengea barabara ya wenye magari mjini, RR, BMW, LEAMOSIN, RANGE, N.K ili mtembee 200km/h
 
Back
Top Bottom