Wewe ndiye hujui kitu. Kama mnachanjwa kwa starehe, tumieni fedha zenu na si kodi yetu. Mkiugua magonjwa yatokanayo na corona, mjitibu wenyewe na si kutuingizia hasara ya kuongeza budget ya kuagiza madawa ya kupambana na athari za chanjo.Kumbe Magufuli alifanikiwa kujaza ujinga watu wengi. Chanjo ni hiari. Hakuna nchi iliyosema chanjo ni lazima. Kama wewe hupendi wako wanaopenda. Usipasue mishipa ya shingo bure kwa ajili ya kujikakamua kubishana na sayansi ambayo nina uhakika hujui lolote. Wewe kama hutaki basi pembeni usilazimishe kila mtu akatae chanjo au nchi ikatae chanjo.
Mwenyehekima kuona hatari inakuja na kujlinda bali mpumbavu huingia matatani kwa kukosa ufahamu.
Wenzenu wamegundua hawa watoa kinga ndio watengenezaji wa korona kwa malengo yao halafu leto unategemea wakutengenezee chanjo?
Mnaona wale walioanza kiherehere cha kuchanja watu wao vile sasa wanahangaika na milipuko mikubwa, ukosefu wakinga na madhara zaidi ya kiuchumi?
Unaona vile washelisehli waliingia kichwa kuchukua chanjo wakidhani wanapendwa kumbe wanatakiwa kuisha ili nchi yao ibaki wazi ? Unajua kwa nini wachina wanataka sana africa wakati hawawapendi waafirca?
Wanasayansi wameshajua issue yote ya corona na hizi talalila za chanjo kuwa ni muendelezo wa bio weapon enforcements. Tayari wameshaungana na Mheshimiwa rais wetu mpendwa hayati Magufuli. Angalie hapa.
Ni mpumbavu peke yake atataka kuendelea kuiga mambo waliyoyaacha wengine kwa madhara yake makubwa.