Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,408
- 25,925
Majibu ameshapewaHapana, ni mwananchi mwenye hoja zinazohitaji majibu
Majibu ameshapewaHapana, ni mwananchi mwenye hoja zinazohitaji majibu
1.) Kvant ni pombe ambayo active ingridient yake haina tofauti na pombe zingine zozote zile (ni OH based molecule),. Kwa chanjo active ingridients hutofautiana kutoka chanjo moja hadi nyingine, ambapo kirusi (pathogen husika) ndio huyo huyo hutumika, huwezi kutumia attenuated virus wa polio kuchanja Corona, au kama ni ya MRNA huwezi ukatumia DNA ya kirusi cha surua kukituma kikazalishwe ili kuzuia Corona, ni vitu viwili tofauti. Sasa kwakuwa pombe (-OH based) imekuwa ikitumika kwa maelfu ya miaka tangu enzi za Yesu, madhara yake kwa kipindi kifupi na cha muda mrefu kiafya yanafahamika, most notable ni kuzeeka haraka, kuharibika kwa ini (Liver failure), kuharibika kwa figo (Kidney failure) among many other side effects. Ila sasa hili swali lako linajibu vipi hoja namba 1? Tunaomba hiyo hoja ijibiwe.Unaweza kutwambia kwanza wewe ni nini madhara ya bia au KVANT mtakayopata baada ya miaka elfu ijayo ?
Au madhara ya unga wa mashineni mnaopikia ugali baada ya miaka 50 ijayo, maana yale meno ya kusagia huwa yanaisha ?
Unataka definition ?
Huu muda unaoutumia kutafuta video za kijinga jinga na articles za kijinga mtandaoni unashindwa nini kutafuta maana ya chanjo ni nini ?
Kirusi kinanadilika kama kikiachwa active ndani ya HOST. Ndio maana leo unaweza kumeza dawa za ALU zikamaliza maralia ila ikitokea ukaanza kuharibu dose, wale plasmodium wa Malaria wanatengeneza drug resistance kiasi kwamba huwezo kuwaua tena kwa ALU.
Muhimu ni kudhibiti mapema ili kuepusha virusi visijiimarishe zaidi maana huwezi jua itakuwaje huko mbele.
Kwa kawaida virus havijawahi kutibika. The only solution ya rahisi ni chanjo.
Kama ikitokea zaidi ya 96% ya watu wamechanja, hakuna sababu ya kuvaa barakoa. Otherwise tahadhari ni muhimu.
The same applies kwa watu wa UKIMWI, mwathirika wa UKIMWI akianza kumeza ARV virusi vinakuwa dormant kabisa na viral load yake inakuwa vizuri tu. Ila akianza kuvuruga tena akakutana na virusi kutoka kwa mtu mwingine inakuwa ni hatari zaidi kwake.
Hii nayo ni HOJA ???
Anyway, internet ni JALALA unaweza kuchagua chochote unachoona kinakufurahisha
Tunaomba uyaweke hapa ili jukwaa linufaike piaMajibu ameshapewa
Unapinga chanjo ya COVID-19 au unapinga chanjo zote ?1.) Kvant ni pombe ambayo active ingridient yake haina tofauti na pombe zingine zozote zile (ni OH based molecule),. Kwa chanjo active ingridients hutofautiana kutoka chanjo moja hadi nyingine, ambapo kirusi (pathogen husika) ndio huyo huyo hutumika, huwezi kutumia attenuated virus wa polio kuchanja Corona, au kama ni ya MRNA huwezi ukatumia DNA ya kirusi cha surua kukituma kikazalishwe ili kuzuia Corona, ni vitu viwili tofauti. Sasa kwakuwa pombe (-OH based) imekuwa ikitumika kwa maelfu ya miaka tangu enzi za Yesu, madhara yake kwa kipindi kifupi na cha muda mrefu kiafya yanafahamika, most notable ni kuzeeka haraka, kuharibika kwa ini (Liver failure), kuharibika kwa figo (Kidney failure) among many other side effects. Ila sasa hili swali lako linajibu vipi hoja namba 1? Tunaomba hiyo hoja ijibiwe.
2.) Hoja namba 2 iko wazi, tunataka kujua chanjo ili iitwe chanjo inatakiwa i-meet criteria zipi? Na hii inayoitwa chanjo, ina-meet hivyo vigezo?
Tunaomba hiyo hoja pia ijibiwe.
3.) Hilo namba 3 sijakataa na wala haikuwa ndio inquiry hiyo, inquiry ilikuwa ni kwamba tunahitaji kujua, hii iliyoletwa ni kwa ajili ya variant ipi? Na je, kikibadilika na kikaja cha lamda au delta variant, tutalazimika kuchanja tena, na tena, na tena, hadi lini? Tunaomba hiyo hoja ijibiwe pia.
4.) Hiyo namba 4 kusema 96% tukichoma ndio tuache kuvaa barakoa, ndio tukahoji, je, tukichoma tunaacha kuambukiza wengine? Tuna kuwa hatuwezi kuambukizwa, tunakuwa hatuwezi kuugua tukiambukizwa, tunakuwa hatufi tukiambukizwa? Hizo hoja tunahitaji zijibiwe pia. Zikijibiwa hizo ndio tutapata usahihi au upotofu wa hicho ulichosema juu ya 96%.
5.) Nk. Nk ni kifupisho cha neno ‘Na kadhalika’, ambapo nimetoa nafasi kwa wachangiaji kuongezew za kwao, zitafute walizoongezea na zijibiwe accordingly.
Nadhani kwa sasa hizi hoja zingejibiwa kwanza
Mimi sipingi chanjo, bali napinga waTz kufanyiwa majaribio. Either way, tunaomba hizo hoja zijibiwe kwanza, kinyume cha hapo, hii itaonekana ni nchi inayoongozwa na watu wa hovyo sana, seriously....,Unapinga chanjo ya COVID-19 au unapinga chanjo zote ?
Mimi naona huu muda angalau ungeutumia kujifunza kuandika vizuri.
Maana naamini unajielewa zaidi mwenyewe.
Hakuna hoja hapo. Hicho unachoita hoja ni upumbavu tu wa mtu aliyeshiba chimpumu.Mimi sipingi chanjo, bali napinga waTz kufanyiwa majaribio. Either way, tunaomba hizo hoja zijibiwe kwanza, kinyume cha hapo, hii itaonekana ni nchi inayoongozwa na watu wa hovyo sana, seriously....,
kujibu hoja kwa vijembe ni kitu cha ajabu mno (mfano kukosoa spelling badala ya kujibu hoja), inasikitisha sana. Na hii tabia yabkujibu hoja kwa vijembe hata wakuu wa nchi na mawaziri na manaibu wao wanayo, inatia aibu kuongozwa na watu wa namna hiyo.
Tunaomba hizo hoja zijibiwe.
Upumbavu wa hizo hoja utadhirika kwa kujibiwa tu, onyesha upumbavu wa hizo hoja kwa kuzijibu.Hakuna hoja hapo. Hicho unachoita hoja ni upumbavu tu wa mtu aliyeshiba chimpumu.
Hoja ziko wapi ?Upumbavu wa hizo hoja utadhirika kwa kujibiwa tu, onyesha upumbavu wa hizo hoja kwa kuzijibu.
Kwa sasa nadhani ni vyema hizo hoja zikajibiwa.
Kwenye post namba 1Hoja ziko wapi ?
Nchi zilizochanja sana ndizo zenye maambukizi sana!!! Mmmhhh!!
Mwandishi wa makala haya katika geopolitic dot org anauliza maswali ya msingi sana:
Anasema:
"Ask yourself. What is the cause of this trend among the vaccinated? The SARS-2 Delta Variant or the Killer Vaccine?"
Na ukisoma makala unaona kuwa wanapiga marufuku kufanyia maiti autopsy. Kwa nini? Mnaficha nini? Mna mipango gani?
......
Ni mambo ya kujiuliza na kuchunguza badala ya kukimbilia kusema "mbona tulishachanjwa?" Kwani kuuliza jambo ni dhambi?
Source: Most Vaccinated Countries Have Most COVID Cases - geopolitic
Hakuna hoja hapo, kuna utumbo tuKwenye post namba 1
Utumbo wa hizo hoja utadhihirika kwa kujibiwa tu, 🙂Hakuna hoja hapo, kuna utumbo tu
Upumbavu na ujinga utadhihirika kwa kujibu hizo hoja tu, 🙂Mleta mada ni mpumbavu Na mjinga. Tafakari ulichotuma na uone haki na mantiki. Tafuta kazi ufanye.
NI ZAIDI YA TIMAMUNa wewe unayeniuliza kama niko sawa kwakuwa nasikiliza maagizo ya waziri, una akili timamu?