Roadmap
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 2,898
- 5,796
Mkuu hao division one na two si ndio vipanga waliopo idara nyeti kama Takukukuru, Bandarini, TRA, BOT na Tiss ila pia Mkuu kaona pole atumia vichwa kwenye cabinet yake lakini tazama Kam Taifa tulipofika na tunapoelekea, Teuzi za mkwere ni nadra sana kusikia Dr au Proffesor anaenda kuwa katibu wa idara ya maji ya Katibu wa chama cha kisiasa, Tukubali tu uzoefu ndio kila kitu tuache mazoea mana hata graduate wanaomwaga sokoni ni empty headed, Tuwekeze kwenye Elimu itakayotupeleka kufanya vitu kwa vitendo zaidi. Sio vitini kukariri madesa afu mwisho mtu mnampa majukumu ya Kitaifa kwa kuangalia academic excellence yake hii sio