Habari wana jamvi,Poleni na misukosuko ya Jumamosi
Kutokana na kadhia inayotukuta sisi watanzania kushindwa katika kesi mbalimbali za kitaifa na kimataifa hususani Serikali yetu na kulipa fedha nyingi mfano kukamatwa kwa ndege yetu ya Air bus huko Afrika Kusini naomba nimshauri Rais wangu kama itampendeza kumteua Peter Kibatala kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Naimani yeye ni mwanasheria nguli nani aibu kama taifa kurusu akili kubwa ziwe zinazurura barabarani naimani kuwa Serikali ilitumia raslimali fedha katika kuwapa elimu hawa vijana Serikali iwatumie ni ushauri tu kama itakupendeza mhe Rais
Habari wana jamvi,Poleni na misukosuko ya Jumamosi
Kutokana na kadhia inayotukuta sisi watanzania kushindwa katika kesi mbalimbali za kitaifa na kimataifa hususani Serikali yetu na kulipa fedha nyingi mfano kukamatwa kwa ndege yetu ya Air bus huko Afrika Kusini naomba nimshauri Rais wangu kama itampendeza kumteua Peter Kibatala kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Naimani yeye ni mwanasheria nguli nani aibu kama taifa kurusu akili kubwa ziwe zinazurura barabarani naimani kuwa Serikali ilitumia raslimali fedha katika kuwapa elimu hawa vijana Serikali iwatumie ni ushauri tu kama itakupendeza mhe Rais
Don't u ever experience the expected loosing side become winner?PK anaonekana yuko vzr sabab kesi nyingi anazoendesha huwa ziko winning side.
Kwa hiyo hoja anazotoa lazima zimuoneshe kama mtu genious sana kumbe kawaida tuu.
Kwa mfano ukimchukua ukampeleka kwenye hii kesi ya ndege yetu SA ataonekana kichwa panzi sababu atakuwa anatetea loosing side.
Mbona simple calculation san hii umeshindwaje kuielewa?
Ahahahahahahahhahahahaahahahahahahahhahah.Utatafunwa kijambio we jipendekeze tuuu
Mkuu umeniacha hoi sana kwa hii terminogy yako...Et kijambioUtatafunwa kijambio we jipendekeze tuuu
Nadhan ni morogoro.Hivi Kibatala ni mwenyeji wa wapi ?
Kuna tatizo la msingi lazima tulijue.Habari wana jamvi,Poleni na misukosuko ya Jumamosi
Kutokana na kadhia inayotukuta sisi watanzania kushindwa katika kesi mbalimbali za kitaifa na kimataifa hususani Serikali yetu na kulipa fedha nyingi mfano kukamatwa kwa ndege yetu ya Air bus huko Afrika Kusini naomba nimshauri Rais wangu kama itampendeza kumteua Peter Kibatala kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Naimani yeye ni mwanasheria nguli nani aibu kama taifa kurusu akili kubwa ziwe zinazurura barabarani naimani kuwa Serikali ilitumia raslimali fedha katika kuwapa elimu hawa vijana Serikali iwatumie ni ushauri tu kama itakupendeza mhe Rais
Kwanza Ungeanza kumfikiria mtokamate alivokuwa wakati ananjaa anadai katiba mpya na sasa alivyo usingewaza hayo uliyotapika hapaHabari wana jamvi,Poleni na misukosuko ya Jumamosi
Kutokana na kadhia inayotukuta sisi watanzania kushindwa katika kesi mbalimbali za kitaifa na kimataifa hususani Serikali yetu na kulipa fedha nyingi mfano kukamatwa kwa ndege yetu ya Air bus huko Afrika Kusini naomba nimshauri Rais wangu kama itampendeza kumteua Peter Kibatala kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Naimani yeye ni mwanasheria nguli nani aibu kama taifa kurusu akili kubwa ziwe zinazurura barabarani naimani kuwa Serikali ilitumia raslimali fedha katika kuwapa elimu hawa vijana Serikali iwatumie ni ushauri tu kama itakupendeza mhe Rais
Hawezi kukubali kwani kutampotezea uwezo wa kufikiri.Habari wana jamvi,Poleni na misukosuko ya Jumamosi
Kutokana na kadhia inayotukuta sisi watanzania kushindwa katika kesi mbalimbali za kitaifa na kimataifa hususani Serikali yetu na kulipa fedha nyingi mfano kukamatwa kwa ndege yetu ya Air bus huko Afrika Kusini naomba nimshauri Rais wangu kama itampendeza kumteua Peter Kibatala kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Naimani yeye ni mwanasheria nguli nani aibu kama taifa kurusu akili kubwa ziwe zinazurura barabarani naimani kuwa Serikali ilitumia raslimali fedha katika kuwapa elimu hawa vijana Serikali iwatumie ni ushauri tu kama itakupendeza mhe Rais
Kibatala yupi,huyu aliye toka na GPA mbovu mzumbe?.
Kabisa mkuuUmeongea pointi sana mkuu. Watu huwa hawaangalii nje ya mfumo. Na hapo ndipo penye tatizo letu. Hata hawajiulizi kwa nini mtu akiingia kwenye system anabadilika hata kama hapo kabla alikuwa mwanaharakati na mzalendo wa kupigiwa mfano namna gani. Ni vigumu sana kuongea huku ukiwa na bonge la nyama mdomoni. Subiri sasa hata yule msomali wa Tabora kama utamsikia tena. Ni wakati wake wa kufakamia keki ya taifa...kimya kimya....
Ndiyo maana mimi huwezi kunikuta nashabikia mwanasiasa/kiongozi. Nguvu zetu inabidi tuzielekeze kwenye kuimarisha mifumo yetu na kujenga taasisi imara na huru. Hii ya kutegemea mtu mmoja mmoja ni kiinimacho tu na kwa nchi hii hata aje nani kama mifumo na miundo ya taasisi zetu ni ile ile mimi naamini mambo ni yale yale tu. Hakuna kitakachobadilika !!!