Nashauri NHIF, na vyama vya kutetea haki za wafanyakazi Kama CWT, TUGHE...wawanusuru watumishi na wategemezi wao

Ramea

JF-Expert Member
Mar 19, 2015
2,146
4,053
Hii mifuko inakata hela kubwa za watumishi, NHIF ipo kimya kabisa kwenye janga hili la corona. Wapeni wateja wenu japo barakoa kumi kumi. Naamini inawezekana. Umuhimu wa BIMA ni kwenye majanga Kama haya. Mkiwasaidia wanufaika mtaisaidia jamii mzima.

CWT nyie mnatengeneza ma t shirts na kofia na kugawa kwa wateja wenu may mosi. Sherehe za may mosi zimefutwa!! Gaweni barakoa 20 na Sanitizer 10 kwa kila mwalimu mnayemkata pesa yake. Mnakata hela nyingi Sana kwa wateja wenu, na mpo kimya kwenye janga la corona.

Hali kadhalika, TUGHE na wengine ambao sijawaorodhedha, nchi ipo vitani, Rostam Azizi ni mdogo zaidi ya Nyie, mbona kafanya makubwa?
Nyie mnashindwa nini tena mna fedha za wananchi zinazoingia kwenye akaunti zenu bila kuzitolea jasho Kama anavyozitolea Jasho Rostam?!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naunga mkono hoja NAHASIRA NA CWT AISEE YAANI DINGI ANAIATWA FEDHA ETI MAY DAY ANAKUJA NA T-SHIRT !!!! HAYA NI MAJIZI BORA SIKUWA MTUMISHI!!!! WAgawe vifaa tiba na Kinga ya korona kwani hell ya kwao????
 
Aiseee
Unaonekana una hasira kweli kweli. Mbona baadhi ya mahospitali yana barakoa na ni ya serikali?
Barakoa zitatuletea magonjwa mengine hata wakigawa kumi tu moja unatumia masaa matatu siku mbili zimeisha. Hebu ongezea hoja ya kutatua hili tatizo yenye faida za mda mrefu
 
Mkuu huku Niko kijijini HAKI YA KWELI watu hawajui nn maana Corona wanapiga soga kunywa pamoja kupeana mikono Kama vile ugonjwa huu haupo ELIMU YA CORONA BADO SANA
 
Naunga mkono hoja NAHASIRA NA CWT AISEE YAANI DINGI ANAIATWA FEDHA ETI MAY DAY ANAKUJA NA T-SHIRT !!!! HAYA NI MAJIZI BORA SIKUWA MTUMISHI!!!! WAgawe vifaa tiba na Kinga ya korona kwani hell ya kwao????

Kumbe kula kulala nikajua unachangia wewe
 
Banc ABC

Vigezo vya kupata mkopo wa fedha kwa watumishi wa Umma. mawasiliano zaidi 0692449416
1. Uwe na copy ya kitambulisho cha kazi
2. Uwe na copy ya kitambulisho c'ha taifa.
3. Salary slip moja ya mwezi uliopita.
4. Bank statement (miezi mitatu)
5. Passport size moja tu.

Kima cha chini cha mkopo ni kuanzia Tsh. 500,000 na kima cha mwisho cha kukopa ni 40,000,000.

Muda wa marejesho ni kuanzia miezi 6 mpaka miezi 96 (miaka nane). Utachagua mwenyewe unahitaji mkopo wa muda gani.
Huduma ni popote Tanzania.

pia riba yetu ni asilimia 1.4 kwa mwezi na asilimia 17 kwa mwaka

mkopo utapata haraka ndani ya masaa 48 baada ya kukamilisha taratibu zote

Wazee wa fursa, lipia tangazo.
 
Hii ni sahihi kabisa. Nyama hivi vinashabiakia sana fursa na sio vikwazo kwa wanachama wao. Hii ya kutofanyika kwa sherehe ya wafanyakazi imekuwa fursa kwao na hata zawadi za wafanyakazi bora zimefinywa wakati bajeti na maandalizi yoye yalishafanyika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kusaidiwa kupata habari kuhusiana na kilimo cha Bangi hapa nchini. Jana kuna gazeti liliripoti kuwa kilimo hicho kimekubaliwa ila kwa masharti; hivyo, naomba mwenye habari kamili atupia hapa
 
Back
Top Bottom