Elections 2010 Nashauri nec iwe iwe na uwakilishi wa viongozi wa dini

MWANA WA UFALME

JF-Expert Member
Sep 10, 2010
578
144
Tatizo lililoikumba nec achilia mbali kuwa ni wakala wa ccm, pia kuna tatizo la integrity ya hao viongozi. Nashauri hata kukiwa na tume huru iweze kuwa na uwakilishi wa viongozi wa dini katika ngazi mbali mbali.
 
..kwa jinsi udini unavyoshika kasi ni bora viongozi wakidini wasikuwepo ktk meza ya maamuzi.
 
Back
Top Bottom