Nashauri Mugumu Serengeti International airport ihamishwe km 50 Kaskazini Magharibi ya sehemu ambayo ilikuwa planned

z12f

JF-Expert Member
Dec 4, 2017
635
458
Nashauri Mugumu Serengeti International airport ihamishwe km 50 kaskazini magharibi ya sehemu ambayo ilikuwa planned.

Iwe na terminal ya kawaida (kama ya Songwe airport). Isiwe na terminal kubwa sana.

Runway iwe ya lami, na urefu wake uwe around 3.8 kms.

Hii ita ondoa athari za hii airport kwenye mbuga ya Serengeti. Kwa sababu itakuwa nje kabisa ya mbuga hiyo.

Na itakuwa rahisi kwa serikali kuijenga hii airport bila kupata upinzani kutoka kwa wana mazingira wa ndani na nje ya nchi.

Airport hii iki kamilika itasaidia sekta ya utalii.

Airport hii pia itasaidia kwenye mambo ya ulinzi na usalama.
 
Serengeti Intl Airport itapendeza ikijengwa mji wa Mugumu pale ulipokuwa uwanja mdogo wa ndege Mugumu .
Hapa ni nje ya hifadhi kwa zaidi ya km 50 baada ya kuliacha lango kuu la kuingilia wageni la Ikoma maarufu Ikoma no one Gate.
Ni zaidi ya km 100 tokea lango la Cleins na zaidi ya km 150 tokea lango la Ndabaka.
Uwanja utakuwa kichocheo cha kiuchumi na kijamii ktk mji wa mugumu ambao ni makao makuu ya wilaya.
Uwanja utahudumia mahotel yaliyo ndani kama Seronera, Lobo, Serena, Sopa, Melia,four season na mengine yaliyo nje ya hifadhi kama hote ya kisasa ya nyota tano ya Grumeti Sasakwa lodge na kambi zaidi ya 100 za kitalii zilizotapakaa kandokando ya vijiji vinavyopakana na hifadhi hiyo maarufu zaidi duniani .
Hongereni wana Serengeti.
 
Muraa! ka wilaya ketu kumbe Machachari sana, katapendeza! walahi narudi kwetu kufanya fursa! muraa! Burunga air port si iendelezwe tu kupitia humo kuna tatizo kwani? hapo ni karibu sana na nyinchoka kwetu! nirahisi km watapanua hivo!

hebu weka kamchoro mura! Corona imefika ?
 
Back
Top Bottom