ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,964
- 3,894
Kwa jinsi tulivyoona athari za kusaini mikataba mirefu.mi nashauri kila raisi atakaeingia madarakani basi akiingia mkataba usiwe na muda mrefu kuliko ukomo wake wa kutumikia kama raisi. Ili raisi mwingine akija kama atapenda kuendeleza mkataba huo badi nae atasaini ila hautozidi muda ukomo wa ursisi wake.
Nasema hivo kwa maana unakuta raisi ana vipindi 2 lakini anadaini mikataba mibovu ya miaka 50. Ambayo inaendelea kuwepo hata yeye akistaafu. Mfano kama tungekuwa tunatumia staili hiyo basi magufuli ilimbidi wakati anaingia madarakani aamue ksms IPTL, Acasia, diamond waendelee ns mikataba au lah.
Najua ni wazo non sense. Lakini ni afadhali mara 1000000.
Changieni mawazo basi
Nasema hivo kwa maana unakuta raisi ana vipindi 2 lakini anadaini mikataba mibovu ya miaka 50. Ambayo inaendelea kuwepo hata yeye akistaafu. Mfano kama tungekuwa tunatumia staili hiyo basi magufuli ilimbidi wakati anaingia madarakani aamue ksms IPTL, Acasia, diamond waendelee ns mikataba au lah.
Najua ni wazo non sense. Lakini ni afadhali mara 1000000.
Changieni mawazo basi