Nashauri Manispaa ya Moshi itangazwe kuwa jiji 2022. Mashamba makubwa yaruhusiwe ndani ya mipango miji

Nashauri Manispaa ya Moshi itangazwe kuwa jiji in 2022.

1) Mji upanuliwe kusini mwa barabara ya Moshi-Arusha, this is very important. Kamwe mji usipanuliwe Kaskazini mwa barabara ya Moshi-Arusha.

2) Sehemu ya kata za wilaya ya Hai na Moshi Vijijini, zinazopakana na Manispaa ya Moshi na zilizoko kusini mwa barabara ya Moshi-Arusha, zihamishiwe kwenye Manispaa ya Moshi.

3) Katika eneo litakalohamishwa, contribution ya Moshi vijijini iwe kubwa kuliko contribution ya Hai, kwasababu Wilaya ya Moshi Vijijini ni kubwa (kieneo) kuliko Wilaya ya Hai.

4) Mipango miji ya Manispaa isiwabague watu wa kipato cha chini.

5) Mipango miji ya Manispaa isiwabague wazawa wenyeji.

6) Mipango miji ya Manispaa iruhusu mashamba makubwa na viwanja vikubwa sana kuendelea kuwepo ndani ya Manispaa.

7) Mipango miji ya Manispaa isilazimishe majengo marefu ndani ya Manispaa.

8) Mipango miji ya Manispaa isifute hati za kimila ndani ya Manispaa.

9) Kuwe na maeneo ya viwanja vya low density. Ambayo yata mimic Oysterbay na Masaki.

10) Maeneo ya makaburi ya waafrika yazungushiwe ukuta mfupi (wa futi 2). Na kuwe na gaps pana kwenye pande mbali mbali zitakazoruhusu magari mapana na watu wengi kuingia na kutoka kwa rahisi sana.

11) Serikali kuu ipeleke fungu kubwa la pesa litakalo boresha miundombinu ya Jiji hilo la Moshi.

12) Eneo la Mji wa Himo lipanuliwe (kwa upande wa kusini mwa barabara ya Moshi-Arusha-Holili, unaopakana na barabara ya kwenda Dar es Salaam) na Miji wa Himo upewe hadhi ya Manispaa ya mji. Kanuni za mipango miji ya Himo zifanane na hizo hapo juu nilizoshauri kuhusu mipango miji ya Manispaa ya Moshi.

13) Kiwanja kidogo cha ndege cha Moshi mjini kihamishiwe Uchira (Kusini mwa Barabara ya Moshi-Arusha). Na kiwe na runway ya lami ya 3.3 kms.

14) Mipango miji mingine yeyote ya maeneo ya mkoa wa Kilimanjaro ifuate kanuni za mipango miji nilizoshauri hapo juu. E.g. Mipango miji ya makao makuu ya wilaya mbalimbali za Mkoa wa Kilimanjaro. Pia barabara za makao makuu ya wilaya zisile sana viwanja na mashamba ya watu.

NB: Mikoa mingine ya Tanzania (ambayo sio makao makuu ya nchi kama Dodoma na Dar es Salaam) inaweza kuiga kanuni hizi za mipango miji.

Asante sana.
Bado Sana ,kwanza mapato tuu kiduchu.
 
Nashauri Manispaa ya Moshi itangazwe kuwa jiji in 2022.

1) Mji upanuliwe kusini mwa barabara ya Moshi-Arusha, this is very important. Kamwe mji usipanuliwe Kaskazini mwa barabara ya Moshi-Arusha.

2) Sehemu ya kata za wilaya ya Hai na Moshi Vijijini, zinazopakana na Manispaa ya Moshi na zilizoko kusini mwa barabara ya Moshi-Arusha, zihamishiwe kwenye Manispaa ya Moshi.

3) Katika eneo litakalohamishwa, contribution ya Moshi vijijini iwe kubwa kuliko contribution ya Hai, kwasababu Wilaya ya Moshi Vijijini ni kubwa (kieneo) kuliko Wilaya ya Hai.

4) Mipango miji ya Manispaa isiwabague watu wa kipato cha chini.

5) Mipango miji ya Manispaa isiwabague wazawa wenyeji.

6) Mipango miji ya Manispaa iruhusu mashamba makubwa na viwanja vikubwa sana kuendelea kuwepo ndani ya Manispaa.

7) Mipango miji ya Manispaa isilazimishe majengo marefu ndani ya Manispaa.

8) Mipango miji ya Manispaa isifute hati za kimila ndani ya Manispaa.

9) Kuwe na maeneo ya viwanja vya low density. Ambayo yata mimic Oysterbay na Masaki.

10) Maeneo ya makaburi ya waafrika yazungushiwe ukuta mfupi (wa futi 2). Na kuwe na gaps pana kwenye pande mbali mbali zitakazoruhusu magari mapana na watu wengi kuingia na kutoka kwa rahisi sana.

11) Serikali kuu ipeleke fungu kubwa la pesa litakalo boresha miundombinu ya Jiji hilo la Moshi.

12) Eneo la Mji wa Himo lipanuliwe (kwa upande wa kusini mwa barabara ya Moshi-Arusha-Holili, unaopakana na barabara ya kwenda Dar es Salaam) na Miji wa Himo upewe hadhi ya Manispaa ya mji. Kanuni za mipango miji ya Himo zifanane na hizo hapo juu nilizoshauri kuhusu mipango miji ya Manispaa ya Moshi.

13) Kiwanja kidogo cha ndege cha Moshi mjini kihamishiwe Uchira (Kusini mwa Barabara ya Moshi-Arusha). Na kiwe na runway ya lami ya 3.3 kms.

14) Mipango miji mingine yeyote ya maeneo ya mkoa wa Kilimanjaro ifuate kanuni za mipango miji nilizoshauri hapo juu. E.g. Mipango miji ya makao makuu ya wilaya mbalimbali za Mkoa wa Kilimanjaro. Pia barabara za makao makuu ya wilaya zisile sana viwanja na mashamba ya watu.

NB: Mikoa mingine ya Tanzania (ambayo sio makao makuu ya nchi kama Dodoma na Dar es Salaam) inaweza kuiga kanuni hizi za mipango miji.

Asante sana.
Basi ungesema pajengwe pawe jiji.
 
Kuna nn cha maana zaidi ya uchawi we unachanganyikiwa na wale mashombeshombe🤣🤣🤣
Tanga icheki TRA na hapa 👇

Screenshot_20220506-134758.png
 

Attachments

  • Regional_Tax_Statistics_2020_21.xls
    67.5 KB · Views: 2
Kaka uzuri ya tanga inaweza badilika na uweekezaji unasapot mfano pale mjini centre ukimpa mdigo mil 40 na fungu la dagaa anakuachia nyumba anahamia huko porini karidhika 🤣🤣
Ndio maana nakwambia Tanga ni moja ya mikoa inayochangia mapato mengi kwa vile kuna bandari na viwanda.
 
Back
Top Bottom