Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,566
Hello JF,
Kwa muda mrefu sasa malalamishi ya housegirls kunyanyaswa katika nchi za kiarabu kama Oman, Turkey, etc. yamekua mengi.
Ninachoona hapa ni kutokua na taarifa ama records to identify those at risk.
Kama ilivyo vitambulisho kwa wafanyabiashara ndogo ndogo (Machinga), then kuwe na vitambulisho kwa WOTE wanaofanya kazi zisizohitaji ujuzi, nursing attendants, makuli, fundi towashi, bar attendants, and house girls.
Sijui if this will work, but tukishajua list ya hao kwa mfano house girls then itakua hata rahisi kujua wapo wapi,kama wameenda nje then itajulikana from database wapo nchi gani, huko nje sasa mabalozi iwe kazi yao kujua hao watu wana mikataba gani,inaisha lini, na ikiwezekana ujira wao, kukiwa na sheria au utaratibu wa kufuata haya.hasa hasa mikataba haya malalamishi yatapungua,(ninavyodhani).
Kingine ningependa kushauri serikali ni kuweka kiwango minimum ambacho hawa wafanyakazi wanaofanya kazi zisizohitaji ujuzi watalipwa, kiwango kisiwe kidogo, at least mtu amudu basics.
Ukiweka kiwango ambacho mtu anaweza akaendesha maisha yake, wengi hawatashawishika kwenda nje kufanya kazi ambazo wangeweza kufanya nchini.
Kukiwa na database na pia minimum wage housegirls ama kuli, fundi etc, itapunguza hata unanyanyasaji wao. Itakuwa rahisi to solve disputes.
It's time hawa wanaofanya kazi zisizo rasmi watambulike rasmi kwenye soko la ajira, wawe respected maslahi yao.
Becky.
Kwa muda mrefu sasa malalamishi ya housegirls kunyanyaswa katika nchi za kiarabu kama Oman, Turkey, etc. yamekua mengi.
Ninachoona hapa ni kutokua na taarifa ama records to identify those at risk.
Kama ilivyo vitambulisho kwa wafanyabiashara ndogo ndogo (Machinga), then kuwe na vitambulisho kwa WOTE wanaofanya kazi zisizohitaji ujuzi, nursing attendants, makuli, fundi towashi, bar attendants, and house girls.
Sijui if this will work, but tukishajua list ya hao kwa mfano house girls then itakua hata rahisi kujua wapo wapi,kama wameenda nje then itajulikana from database wapo nchi gani, huko nje sasa mabalozi iwe kazi yao kujua hao watu wana mikataba gani,inaisha lini, na ikiwezekana ujira wao, kukiwa na sheria au utaratibu wa kufuata haya.hasa hasa mikataba haya malalamishi yatapungua,(ninavyodhani).
Kingine ningependa kushauri serikali ni kuweka kiwango minimum ambacho hawa wafanyakazi wanaofanya kazi zisizohitaji ujuzi watalipwa, kiwango kisiwe kidogo, at least mtu amudu basics.
Ukiweka kiwango ambacho mtu anaweza akaendesha maisha yake, wengi hawatashawishika kwenda nje kufanya kazi ambazo wangeweza kufanya nchini.
Kukiwa na database na pia minimum wage housegirls ama kuli, fundi etc, itapunguza hata unanyanyasaji wao. Itakuwa rahisi to solve disputes.
It's time hawa wanaofanya kazi zisizo rasmi watambulike rasmi kwenye soko la ajira, wawe respected maslahi yao.
Becky.