Nashauri kuondolewa kwa ruti za Daladala za Bagamoyo na Kibaha kuingia mjini

Meshe

JF-Expert Member
Nov 14, 2011
375
470
Binafsi sioni tija ya kufanya ruti za daladala kuwa ruti fupifupi na kuweka daraja moja tu la usafiri huu.

Zamani iliwezekana kupanda daladala moja kutoka Kariakoo hadi Bagamoyo au Kariakoo hadi Kibaha.

Hapa kati wakati wa Corona mabasi binafsi, tours, ambayo yako comfortable na yana AC yaliruhusiwa kubeba abiria. Hata maofisa wa ngazi za kati na juu waliweza kwenda mjini kwa kutumia usafiri wa umma.

Kwa Sasa hivi daladala za Bagamoyo zinaishia Tegeta Nyuki na za Kibaha zinaishia Mbezi Mwisho.

Hii linaleta kero kwa abiria wanaoingia mjini kwa kulazimika kushuka na mzigo yao au watoto na kwanza kugombania magari mengine. Hali inakuwa ngumu zaidi kipindi cha mvua.

Pamoja na kero nyingine lukuki za usafiri wa daladala tatizo hili linafanya usafiri wa daladala kuonekana wa kinyonge, duni na wakati mwingine wa fedheha.

Uduni wa daladala za Dar unawafanya watu wengi kutumia magari binafsi na hivyo kuwaongezea gharama na pia kusababisha msongamano wa magari mjini usio wa lazima.

City planners leteni usafiri wa umma wa kueleweka, ruhusuni daladala za bei ya juu, bei ya Kati na ordinary.

Mnakwama wapi?

Watu wachache madaraka ya usafiri kama wanavyochagua kununua mahitaji mengine!!

Lifanyike kazi.

Raia mwema na mzalendo
 
Kweli kabisa tena hiii ya kibaha mpaka k/koo wairudishe kabisa maana ishakuwa kero ila sasa k/koo watapaki wapi?
 
Inapunguza vurugu mjini na uchumi unatawanywa. Wewe fanya biashara ya dala Bagamoyo mpaka Tgt na mwingine kutoka Tgt kwenda kwingineko
 
Pamoja na mwendokasi, posta na Kariakoo kuna hitajika kuwe na stand ya daladala.
 
Binafsi sioni tija ya kufanya ruti za daladala kuwa ruti fupifupi na kuweka daraja moja tu la usafiri huu.

Zamani iliwezekana kupanda daladala moja kutoka Kariakoo hadi Bagamoyo au Kariakoo hadi Kibaha.

Hapa kati wakati wa Corona mabasi binafsi, tours, ambayo yako comfortable na yana AC yaliruhusiwa kubeba abiria. Hata maofisa wa ngazi za kati na juu waliweza kwenda mjini kwa kutumia usafiri wa umma.

Kwa Sasa hivi daladala za Bagamoyo zinaishia Tegeta Nyuki na za Kibaha zinaishia Mbezi Mwisho.

Hii linaleta kero kwa abiria wanaoingia mjini kwa kulazimika kushuka na mzigo yao au watoto na kwanza kugombania magari mengine. Hali inakuwa ngumu zaidi kipindi cha mvua.

Pamoja na kero nyingine lukuki za usafiri wa daladala tatizo hili linafanya usafiri wa daladala kuonekana wa kinyonge, duni na wakati mwingine wa fedheha.

Uduni wa daladala za Dar unawafanya watu wengi kutumia magari binafsi na hivyo kuwaongezea gharama na pia kusababisha msongamano wa magari mjini usio wa lazima.

City planners leteni usafiri wa umma wa kueleweka, ruhusuni daladala za bei ya juu, bei ya Kati na ordinary.

Mnakwama wapi??

Watu wachache madaraka ya usafiri kama wanavyochagua kununua mahitaji mengine!!

Lifanyike kazi.

Raia mwema na mzalendo
halafu kuna hizo coster za kibaha -mbezi nyakati za jioni wanafanya mambo ya ajabu sana. Wanapandisha nauli na haondoi gari hadi lijae na watu wasimame na kupangwa kama magunia
 
Binafsi sioni tija ya kufanya ruti za daladala kuwa ruti fupifupi na kuweka daraja moja tu la usafiri huu.

Zamani iliwezekana kupanda daladala moja kutoka Kariakoo hadi Bagamoyo au Kariakoo hadi Kibaha.

Hapa kati wakati wa Corona mabasi binafsi, tours, ambayo yako comfortable na yana AC yaliruhusiwa kubeba abiria. Hata maofisa wa ngazi za kati na juu waliweza kwenda mjini kwa kutumia usafiri wa umma.

Kwa Sasa hivi daladala za Bagamoyo zinaishia Tegeta Nyuki na za Kibaha zinaishia Mbezi Mwisho.

Hii linaleta kero kwa abiria wanaoingia mjini kwa kulazimika kushuka na mzigo yao au watoto na kwanza kugombania magari mengine. Hali inakuwa ngumu zaidi kipindi cha mvua.

Pamoja na kero nyingine lukuki za usafiri wa daladala tatizo hili linafanya usafiri wa daladala kuonekana wa kinyonge, duni na wakati mwingine wa fedheha.

Uduni wa daladala za Dar unawafanya watu wengi kutumia magari binafsi na hivyo kuwaongezea gharama na pia kusababisha msongamano wa magari mjini usio wa lazima.

City planners leteni usafiri wa umma wa kueleweka, ruhusuni daladala za bei ya juu, bei ya Kati na ordinary.

Mnakwama wapi??

Watu wachache madaraka ya usafiri kama wanavyochagua kununua mahitaji mengine!!

Lifanyike kazi.

Raia mwema na mzalendo
Umenena vizuri.
Tatizo madiwani wa kutusemea hawana upeo maana wote waliteuliwa
 
Binafsi sioni tija ya kufanya ruti za daladala kuwa ruti fupifupi na kuweka daraja moja tu la usafiri huu.

Zamani iliwezekana kupanda daladala moja kutoka Kariakoo hadi Bagamoyo au Kariakoo hadi Kibaha.

Hapa kati wakati wa Corona mabasi binafsi, tours, ambayo yako comfortable na yana AC yaliruhusiwa kubeba abiria. Hata maofisa wa ngazi za kati na juu waliweza kwenda mjini kwa kutumia usafiri wa umma.

Kwa Sasa hivi daladala za Bagamoyo zinaishia Tegeta Nyuki na za Kibaha zinaishia Mbezi Mwisho.

Hii linaleta kero kwa abiria wanaoingia mjini kwa kulazimika kushuka na mzigo yao au watoto na kwanza kugombania magari mengine. Hali inakuwa ngumu zaidi kipindi cha mvua.

Pamoja na kero nyingine lukuki za usafiri wa daladala tatizo hili linafanya usafiri wa daladala kuonekana wa kinyonge, duni na wakati mwingine wa fedheha.

Uduni wa daladala za Dar unawafanya watu wengi kutumia magari binafsi na hivyo kuwaongezea gharama na pia kusababisha msongamano wa magari mjini usio wa lazima.

City planners leteni usafiri wa umma wa kueleweka, ruhusuni daladala za bei ya juu, bei ya Kati na ordinary.

Mnakwama wapi?

Watu wachache madaraka ya usafiri kama wanavyochagua kununua mahitaji mengine!!

Lifanyike kazi.

Raia mwema na mzalendo
Umeandika kitu kizuri sana tena precisely

Hapa inahitajika busara zaidi kuliko agenda ya kuongeza mapato, fikiria mtu anayeishi eneo la Luguruni anatakiwa kupanda daladala umbali wa kilometa moja tu akagombanie daladala Mbezi kwenda mjini kati hiyo kwake ni kadhia kwa maana analipa nauli mara mbili wakati kama angepata usafiri wa Kibaha angetumia bus moja tu.

Planners wetu wamekaa kimaslahi zaidi na siyo kuboresha huduma, nadhani hata mamlaka zilizopo juu hazifuatilii udhaifu huu wa kiutendaji kwakuwa wanaoumia sana na kuathirika zaidi ni watu wa kipato cha chini.

Ubaya ni kwamba hao wanaotengeneza ugumu wa maisha kwa watu wa kipato cha chini eidha hawajawahi kuonja adha hizo au walionja baada ya kufanikiwa wakasahau kabisa kama wenzao wanateseka kwa kutengenezewa mazingira ya hovyo ya kusafiri, ushauri wangu ingekuwa zianzishwe route za moja kwa moja kutoka Kibaha na Bagamoyo mpaka Mjini tena kwa kutumia mabasi makubwa yanayoweza kubeba watu wengi kwa mpigo
 
Sasa hivi nauli ya kutoka maeneo ya mjini kati kwenda mbezi mwisho inaweza kuzidi ile ya kutoka mbezi mwisho kwenda kibaha

Haswa nyakati za alfajiri na usiku
 
Karekwa sana...yaani kibaha unapanda magari mengi aisee...unatoka kibaha unaenda mbezi unachukua mwendokasi mpaka kimara.. Unachukua mwendokas mpaka kivukoni... inachosha
 
Back
Top Bottom