zxcvbnm
Member
- Sep 20, 2018
- 68
- 97
Straight to point
Junction tajwa hapo juu iko sehemu ambapo barabara ya new bagamoyo road iko kwenye mkakati wa kupanuliwa na sote tujuavyo ubungo junction nayo iko katika heka heka za kumalizika.
Kwa wanao tumia barabara hizo wanajua foleni ambayo inakuwepo wakati wa kutoka Tegeta na kwenda Mjini majira ya asubuh na vice versa majira ya jioni.
Hii design ambayo itaruhusu magar yanayo tembea kwenye New Bagamoyo road yatakuwa yanapitia kwa chini na yanayotokea ubungo yana kuwa yanaelekezwa kwa juu.
Eneo la hio junction inatosheleza kabisa kujenga underpass ya nature hio.
Junction tajwa hapo juu iko sehemu ambapo barabara ya new bagamoyo road iko kwenye mkakati wa kupanuliwa na sote tujuavyo ubungo junction nayo iko katika heka heka za kumalizika.
Kwa wanao tumia barabara hizo wanajua foleni ambayo inakuwepo wakati wa kutoka Tegeta na kwenda Mjini majira ya asubuh na vice versa majira ya jioni.
Hii design ambayo itaruhusu magar yanayo tembea kwenye New Bagamoyo road yatakuwa yanapitia kwa chini na yanayotokea ubungo yana kuwa yanaelekezwa kwa juu.
Eneo la hio junction inatosheleza kabisa kujenga underpass ya nature hio.