Gai da seboga
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 478
- 962
Nawasalim kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
Badala ya kuwa kila jimbo au wilaya ina mbunge, Binafsi nimewahi kushauri kuwa na mbunge mmoja tu kutoka kila mkoa na wabunge wachache wa kuteuliwa kisha majukumu ya wabunge wapewe wakurugenzi maana ndio watatuzi wa moja kwa moja wa changamoto hawa wachache wawe wasomi nguli na wabobezi ili waweze kutunga Sera na sheria basi.
Hili litatusaidia:
1. Kupunguza gharama za mishahara kwa wabunge.
2. Kufanya chombo cha bunge kuheshimika na kuaminiwa.
3. Kupunguza wabunge vilaza bungeni.
4. Kutaleta chachu ya uwajibikaji na sio kuwa na utitiri wa wabunge wanaowaza matumbo yao.
Badala ya kuwa kila jimbo au wilaya ina mbunge, Binafsi nimewahi kushauri kuwa na mbunge mmoja tu kutoka kila mkoa na wabunge wachache wa kuteuliwa kisha majukumu ya wabunge wapewe wakurugenzi maana ndio watatuzi wa moja kwa moja wa changamoto hawa wachache wawe wasomi nguli na wabobezi ili waweze kutunga Sera na sheria basi.
Hili litatusaidia:
1. Kupunguza gharama za mishahara kwa wabunge.
2. Kufanya chombo cha bunge kuheshimika na kuaminiwa.
3. Kupunguza wabunge vilaza bungeni.
4. Kutaleta chachu ya uwajibikaji na sio kuwa na utitiri wa wabunge wanaowaza matumbo yao.