kipanga mlakuku
Member
- Jun 9, 2011
- 92
- 53
Kutokana na kuchemka vibaya kwa rais Jakaya Kikwete katika kipindi chake cha kwanza na tangu aanze kipindi cha pili naomba nitoe ushauri wa bure kwa Kikwete anaonaje hii miaka minne iliyobaki amwachie Dr Salim Ahmed Salim hii itamfanya kujijengea heshima kwa kuwajibika mfano anaweza kumteua Salim kuwa makamu wa rais kisha yeye akajiuzulu hivyo Makamu wake salim kukamata madaraka ya nchi wallahi kikwete akilifanya hili labda kidogo ccm itapata hata majimbo ishirini na kura za urais angalau robo mwaka 2015 maana tuache utani jamani Dr salimi jembe la ukweli hata kama yuko kwenye chama cha magamba