Nashauri Jen. Venance Mabeyo asome kitabu "Army of None" cha Paul Scharre ili atuondolee aibu ya kubebesha magunia makomandoo kwenye sherehe za uhuru

haya mambo tumeshaandika sana hapa.

kwazi kwao jwtz kubadilika au kubaki kwenye strategy za kizamani.
 
Kumbebesha mwanajeshi magogo,begi,mtungi wa gesi ni jeshi la kishamba.Pia Ni hatari kwa afya ya mgongo wa mwanajeshi.
Jeshi letu lijikite kwenye tekinolojia,maonesho ya siku ya uhuru yahusishe silaha na vifaa ambavyo jeshi letu litakuwa limetengeneza hayo ndiyo maendeleo na vitu vya kujivunia siyo siku ya Uhuru unaonyesha ndege,silaha na vifaa vilivyotengenezwa na jeshi la China au Ujerumani.
 
Shalom from Jerusalem,

Imekuwa ni kawaida sasa kwenye kila sherehe za uhuru wa Tanganyika ama mapinduzi ya Zanzibar jeshi letu la ulinzi la wananchi wa Tanzania kutuonesha siraha na mbinu za kivita. Miongoni mwa mbinu hizo ni makomandoo wetu kubebeshwa mizigo na magunia mazito kuonesha maguvu na mabavu. Hii kwa wengi nadhani imepitwa na wakati kwa sababu vita ya sasa inahitaji teknolojia ya hali ya juu na wanajeshi wanaotumia akili zaidi kuliko mabavu.

Hatuhitaji tena mwanadamu mwenye mabavu kushinda vita bali matumizi ya technolojia ili kubaini mahali alipo adui, kumtageti na kumshambulia bila hata wewe mwenyewe kuwepo eneo la mashambulizi.

Kizazi hiki ni cha vita vya autonomous weapons hivyo sasa umefika wakati jeshi letu watuoneshe mbinu za aina hiyo na si kubeba magunia kama walivyozoea kufanya.

Namshauri Jen. Venance Mabeyo asome kitabu hiki "Army of None: Autonomous Weapons and the Future of War" cha Paul Scharre kitamsaidia kuja na mbinu mpya za kivita na kutuonesha ni namna gani wamejipanga kuzitumia.

Nawatakia siku njema.

View attachment 2079415

Inatisha
 
Watanzania vile wajuaji wa kila kitu.
Ni moja kati ya ulemavu wetu Watanzania. Kila kitu tunajua sisi kisa tunaweza kusoma novels. Jacks of all trades but masters of none sometimes.
Yaani mtu hata kama ni mchonga majeneza, akiwakuta nuclear physicists kwenye mjadala atakaukwa mate kuchangia ili aende nao sambamba tu 😀😀
 
..wanapasua matofali.

..wanavunja nondo.

..halafu kukitokea ajali [ kama ile ya ukerewe] wanashindwa kuokoa wananchi.
 
Na wewe nenda kasome " the art of war" by Sun Tzu.

"Pretend to be weak when ur stronger and stronger when ur weak so that u will make ur enemies to focus on the tree instead of the whole forest." Sun Tzu

Mabeyo yupo Sahihi kuliko unavyo weza kufikiri..


Huyo Paul Scharre ni kabulyage
So you saying Tanzania ina strong army while ina pretend to be weak, wrong assumption so far bro
 
Marekani kuna "physical fitness test"

View attachment 2079559
But even with a disability, you can work in a civilian role in the military. A federal mandate states that all U.S. Military bases must have 10% of their civilian workforce composed of individuals with disabilities, Matthew W. Dietz

 
Shalom from Jerusalem,

Imekuwa ni kawaida sasa kwenye kila sherehe za uhuru wa Tanganyika ama mapinduzi ya Zanzibar jeshi letu la ulinzi la wananchi wa Tanzania kutuonesha siraha na mbinu za kivita. Miongoni mwa mbinu hizo ni makomandoo wetu kubebeshwa mizigo na magunia mazito kuonesha maguvu na mabavu. Hii kwa wengi nadhani imepitwa na wakati kwa sababu vita ya sasa inahitaji teknolojia ya hali ya juu na wanajeshi wanaotumia akili zaidi kuliko mabavu.

Hatuhitaji tena mwanadamu mwenye mabavu kushinda vita bali matumizi ya technolojia ili kubaini mahali alipo adui, kumtageti na kumshambulia bila hata wewe mwenyewe kuwepo eneo la mashambulizi.

Kizazi hiki ni cha vita vya autonomous weapons hivyo sasa umefika wakati jeshi letu watuoneshe mbinu za aina hiyo na si kubeba magunia kama walivyozoea kufanya.

Namshauri Jen. Venance Mabeyo asome kitabu hiki "Army of None: Autonomous Weapons and the Future of War" cha Paul Scharre kitamsaidia kuja na mbinu mpya za kivita na kutuonesha ni namna gani wamejipanga kuzitumia.

Nawatakia siku njema.

View attachment 2079415

Kirahisi tu eti unampa General Mabeyo kitabu akasome kisa maonyesho ya maigizo acha hizi! Vibweka gizani!😀😀
 
Hayo makorokoro yote yanatakiwa kubebwa na gari sio binadamu kuchoshana tu

IMG_8987.jpg
 
Kumbebesha mwanajeshi magogo,begi,mtungi wa gesi ni jeshi la kishamba.Pia Ni hatari kwa afya ya mgongo wa mwanajeshi.
Jeshi letu lijikite kwenye tekinolojia,maonesho ya siku ya uhuru yahusishe silaha na vifaa ambavyo jeshi letu litakuwa limetengeneza hayo ndiyo maendeleo na vitu vya kujivunia siyo siku ya Uhuru unaonyesha ndege,silaha na vifaa vilivyotengenezwa na jeshi la China au Ujerumani.
Kabisa,haimeki sense kujidai kwa silaha za wengine
 
..wanapasua matofali.

..wanavunja nondo.

..halafu kukitokea ajali [ kama ile ya ukerewe] wanashindwa kuokoa wananchi.
Watake radhi mkuu!

Hiyo ni kazi ya Polisi.

Walioibua MV Nyerere iliyozama kati ya Ukerewe na Ukara Septemba 20, 2018 ni nani kama siyo Marine Commandos wa TPDF Navy Division?

Taswira zote kwa hisani ya google

1642082940614.png



1642082398531.png


Combatant TPDF Navy servicemen in rescue mission in Ukerewe-Ukara Islands September 20, 2018.

1642083066863.png

TPDF-Navy-led mission to bring afloat the sunken MV Nyerere September 20, 2018. Chadema walimsusia JPM (joke! joke! joke!)
 
Watake radhi mkuu!

Hiyo ni kazi ya Polisi.

Walioibua MV Nyerere iliyozama kati ya Ukerewe na Ukara Septemba 20, 2018 ni nani kama siyo Marine Commandos wa TPDF Navy Division?

Taswira zote kwa hisani ya google

View attachment 2079602


View attachment 2079587

Combatant TPDF Navy servicemen in rescue mission in Ukerewe-Ukara Islands September 20, 2018.

View attachment 2079603
TPDF-Navy-led mission to bring afloat the sunken MV Nyerere September 20, 2018. Chadema walimsusia JPM (joke! joke! joke!)
Nilitegemea askari mmoja kubeba maiti nne lakini cha ajabu maiti moja imebebwa na askari wanne
 
Na wewe nenda kasome " the art of war" by Sun Tzu.

"Pretend to be weak when ur stronger and stronger when ur weak so that u will make ur enemies to focus on the tree instead of the whole forest." Sun Tzu

Mabeyo yupo Sahihi kuliko unavyo weza kufikiri..


Huyo Paul Scharre ni kabulyage
Hii ni law number ngapi
 
Back
Top Bottom