Vijana video game zinawapoteza... Jwtz- "comando comandoo "wameenda Anjuani wakashinda - Kwa kuweka MTU ikulu sio mcjhezo !.. USA walishindwa Mogadishu ya Farah Idid ... Vita ni watu .. Hata baba ya vita zote har magedon itahusisha watu
Sisi ni bora Mkurunzinza alipinduliwa akiwa Dsm ndani ya Siku kadhaa Dw radio wakatangaza wameona msafara ukitokea Kgm kama risasi ukiingia Burundi wanaume wakaingia na kumweka Rais sehemu yake- haya mambo siyo mchezo
Sisi ni bora Mkurunzinza alipinduliwa akiwa Dsm ndani ya Siku kadhaa Dw radio wakatangaza wameona msafara ukitokea Kgm kama risasi ukiingia Burundi wanaume wakaingia na kumweka Rais sehemu yake- haya mambo siyo mchezo