Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,126
- 39,341
Naendelea kukuapia dhambi ya kumwaga damu ya Lissu itawachoma mpaka mtapukutika nyote.Hasa chadema
Naendelea kukuapia dhambi ya kumwaga damu ya Lissu itawachoma mpaka mtapukutika nyote.Hasa chadema
US siku hizi wanaajiri hadi walemavu kuwa Maaskari wakati Tz kuwa na tatoo tu ni disqualification.Ndugu siku hizi ukiwa huwezi kubuni na kuitumia teknolojia kwenye vita wewe ni dhaifu sana, hayo mabavu wala hayakusaidii kitu. UTAPIGWA MA MISULI YAKO. NA HAKIKA NAKWAMBIA NDANI YA MIAKA 20 TU IJAYO HUTOONA WANAJESHI WAKIENDA VITANI BALI WANAKAA OFISINI LAKINI WANAFANYA MAMBO.
Mleta mada yupo sahihi sana...haya mambo ya mizigo,magogo hapana.Tunataka tuone drone zao,uwezo wa kuzuia majanga,ndege za kisasa nk...what they are doing its out of businessMleta mada hajui vita
Kuna ebeo unahitaji physical presence sio teknolojia tu
Osama kuua kulitumika mbinu zote physical na technological
Kuteka hutumii teknolojia tu au kupambana na magaidi huhitaji teknolojia tu
Hata kupambana mijini na porini na kuteka mijasusi kunahitaji physical
Ni sawa lkn labda mwisho pamoja na kupiga kwa teknolojia UTEKE ENEO LA KUFIKIRIKA sio physical area on the earth.Ndugu siku hizi ukiwa huwezi kubuni na kuitumia teknolojia kwenye vita wewe ni dhaifu sana, hayo mabavu wala hayakusaidii kitu. UTAPIGWA MA MISULI YAKO. NA HAKIKA NAKWAMBIA NDANI YA MIAKA 20 TU IJAYO HUTOONA WANAJESHI WAKIENDA VITANI BALI WANAKAA OFISINI LAKINI WANAFANYA MAMBO.
Ningeisoma hii post nisinge comment.Asa ulitaka pale wapite na laptop after low hakuna mbinu ya kivita wameonyesha pale
Phyical inaishia ishia, dunia inabadilika sana.Ni sawa lkn labda mwisho pamoja na kupiga kwa teknolojia UTEKE ENEO LA KUFIKIRIKA sio physical area on the earth.
Vyovyote physical inahitajika
Nanyi wote wawili mkasome:-Na wewe nenda kasome " the art of war" by Sun Tzu.
"Pretend to be weak when ur stronger and stronger when ur weak so that u will make ur enemies to focus on the tree instead of the whole forest." Sun Tzu
Mabeyo yupo Sahihi kuliko unavyo weza kufikiri..
Huyo Paul Scharre ni kabulyage
Wangeweza kutuonesha namna drone inavyoweza kwenda kariakoo ikiongozwa na mtu aliyeko Uhuru ikachagua mtu mmoja aliyeko kwenye kundi la watu na kumshambulia walau hata kwa kumwagia maji lakini siyo kutubebeshea vifurushi vya kilo 200 wanajeshi wetu.Ningeisoma hii post nisinge comment.
Mada closed
Hayo ni maonesho tuShalom from Jerusalem,
Imekuwa ni kawaida sasa kwenye kila sherehe za uhuru wa Tanganyika ama mapinduzi ya Zanzibar jeshi letu la ulinzi la wananchi wa Tanzania kutuonesha siraha na mbinu za kivita. Miongoni mwa mbinu hizo ni makomandoo wetu kubebeshwa mizigo na magunia mazito kuonesha maguvu na mabavu. Hii kwa wengi nadhani imepitwa na wakati kwa sababu vita ya sasa inahitaji teknolojia ya hali ya juu na wanajeshi wanaotumia akili zaidi kuliko mabavu.
Hatuhitaji tena mwanadamu mwenye mabavu kushinda vita bali matumizi ya technolojia ili kubaini mahali alipo adui, kumtageti na kumshambulia bila hata wewe mwenyewe kuwepo eneo la mashambulizi.
Kizazi hiki ni cha vita vya autonomous weapons hivyo sasa umefika wakati jeshi letu watuoneshe mbinu za aina hiyo na si kubeba magunia kama walivyozoea kufanya.
Namshauri Jen. Venance Mabeyo asome kitabu hiki "Army of None: Autonomous Weapons and the Future of War" cha Paul Scharre kitamsaidia kuja na mbinu mpya za kivita na kutuonesha ni namna gani wamejipanga kuzitumia.
Nawatakia siku njema.
View attachment 2079415
hiyo guerrilla war haina maisha marefu duniani ndugu yanguNanyi wote wawili mkasome:-
1. War is mainly a catalogue of blunders. ... The power of making war often prevents it, Lewis F. Korns.
2. War settles nothing, Herbert V. Prochnow.
3. Armies are not bad things in themselves; it’s war that’s evil, Dwight D. Eisenhower.
NB.
Duniani kote watu weupe wanaiheshimu Afrika pekee kwa vita aina ya guerrilla (vita vya msituni) . Hii ndiyo version ya vita iliyoleta ukombozi Afrika. US imejaribu kujifunza guerrilla lakini imewashinda, wamepoteza wapiganaji wengi kwenye mazoezi ya medani ya guerrilla. Guerrilla haihitaji teknolojia kubwa ya gharama na inahitaji mbinu kama hizo za ubebaji magunia mgongoni (uimara physically).
Aidha, Afrika haina uwezo wa kununua teknolojia hizo unazosema, labda baada ya miaka 50 ijayo, hivyo inabidi Afrika itegemee ilichonacho mkononi (guerrilla/ubebaji magunia).
Please give this man a Bells!!Pretend to be weak when it stronger and stronger when ur weak so that u will make it enemies to focus on the tree instead of the whole forest
Shalom from Jerusalem,
Imekuwa ni kawaida sasa kwenye kila sherehe za uhuru wa Tanganyika ama mapinduzi ya Zanzibar jeshi letu la ulinzi la wananchi wa Tanzania kutuonesha siraha na mbinu za kivita. Miongoni mwa mbinu hizo ni makomandoo wetu kubebeshwa mizigo na magunia mazito kuonesha maguvu na mabavu. Hii kwa wengi nadhani imepitwa na wakati kwa sababu vita ya sasa inahitaji teknolojia ya hali ya juu na wanajeshi wanaotumia akili zaidi kuliko mabavu.
Hatuhitaji tena mwanadamu mwenye mabavu kushinda vita bali matumizi ya technolojia ili kubaini mahali alipo adui, kumtageti na kumshambulia bila hata wewe mwenyewe kuwepo eneo la mashambulizi.
Kizazi hiki ni cha vita vya autonomous weapons hivyo sasa umefika wakati jeshi letu watuoneshe mbinu za aina hiyo na si kubeba magunia kama walivyozoea kufanya.
Namshauri Jen. Venance Mabeyo asome kitabu hiki "Army of None: Autonomous Weapons and the Future of War" cha Paul Scharre kitamsaidia kuja na mbinu mpya za kivita na kutuonesha ni namna gani wamejipanga kuzitumia.
Nawatakia siku njema.
View attachment 2079415
Hiyo teknolojia tunayo?Wangeweza kutuonesha namna drone inavyoweza kwenda kariakoo ikiongozwa na mtu aliyeko Uhuru ikachagua mtu mmoja aliyeko kwenye kundi la watu na kumshambulia walau hata kwa kumwagia maji lakini siyo kutubebeshea vifurushi vya kilo 200 wanajeshi wetu.
Waliofukuza Maimai, M23, ni MONUSCO kupitia Majeshi ya Afrika kama TPDF (Tz), ZNA (Zimbabwe) na SAA (South Africa) baada ya Majeshi ya weupe kushindwa ule msitu.hiyo guerrilla war haina maisha marefu duniani ndugu yangu