MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Jeshi la polisi mkoa wa Ruvuma, linamshikilia Askari Polisi Keneth Mkwela, kwa kosa la kumjeruhi mwanaume mwenzake kwa kitu chenye ncha kali anayejulikana kwa jina la Andrew Milanzi, baada ya kumfumania akiwa na mwenza wake kwenye nyumba ya kulala wageni.
Kutoka: Habari Star TV Tanzania
Kutoka: Habari Star TV Tanzania