vitaje ulivyovikusudia, maana ccm, chadema na cck ni vifupisho (acronym) vya majina ya vyama husika kwa kiswahili (lugha ya taifa).
habari ndugu zanguni wana j.f nashangazwa sana na majina ya vyamavyetu vya siasa,hivi tunashindwa kutumia majina ya kwa lugha yetu ya taifa,me nahisi niukosefu wa uzalendo,na naona hii ni bado hali ya kutawaliwa!!