Nashangaa mnaosema eti Kikwete kawa wa kwanza kufanya maamuzi magumu, yepi hayo?

Tuyuku

JF-Expert Member
Jan 6, 2011
3,292
1,919
Tatizo watu hamsomi historia wala kufuatilia mambo halafu mnang'ang'ania kuwaambia watu haya mambo yanafanyika kwa mara ya kwanza. Kikwete hana la maana kabisa.

Mwalimu alifanya maamuzi mengi mazito ikiwa ni pamoja na kumruhusu Mwinyi aliyekuwa akimpenda sana ajiuzulu japo hakuwa na makosa yeye kama yeye isipokuwa watu wa chini yake. Mwalimu alisimamia rais wa Zanzibar ajiuzulu alipokwenda kinyume na katiba....na mengine mengi.

Tukija kwa Mwinyi, pamoja na upole wake wote, mwaka 1994 mwishoni hakuona taabu kulivunja baraza la mawaziri na kumpiga chini waziri mkuu Malecela na katibu mkuu wa CCM hayati Kolimba alipoona mambo yanakwenda kombo kutokana na ushauri wao mbovu.

Tukija kwa Mkapa, alimfungulia mashitaka ya ufisadi waziri wa zamani wa ujenzi Nalaila Kiula. Alifanya maamuzi makubwa sana kuunda TRA ili kodi zetu zikusanywe kwa jitihada zote. Alikubali na kuwashinikiza maswahiba wake wajiuzulu, kama waziri wa fedha Prof Mbilinyi, Mporogomyi. Na pia waziri wa biashara Idd Simba. Na hata Simba alipoleta siasa za ukaburu za uzawa Mkapa hakuona haya kuzipinga bayana. Mkapa akafanya maamuzi makubwa zaidi kuanzisha mfuko wa barabara baada ya kuona wafadhili wanaleta nyodo kusaidia kujenga barabara. Akafanya maamuzi magumu kuamua majengo ya Chimwaga yapewe serikali ianzishe Udom ila nashangaa sana hizo compliments anapewa popo. Akafanya maamuzi makubwa sana ya kujenga uwanja wa mpira ingawa yeye si mwanamichezo. Akafanya maamuzi makubwa sana ya kujenga uwanja wa kimataifa kule Mbeya mfupa ulioishinda serikali toka miaka ya 70. Mkapa pamoja na ufisadi wake alifanya kazi inayoonekana. Na ujasiri wake mkubwa ni kudhibiti mfumuko wa bei kwa miaka kumi jambo ambalo hakuna rais wa Tanzania kawahi kuweza kulifanya.

Mkapa akafanya ujasiri mwingine kuwanyang'anya Tanesco (tena bora kabisa ma...fa...la sana hawa) majengo yao na kuwapa waislamu waanzishe nao chuo kikuu.

Mie nawashangaa sana mnaomsifia mtu ambaye uamuzi wake wa kijasiri ni kukesha angani kama popo, kuyafahamu majina ya mafisadi na wauza unga na kuyakalia chumbani na mkewe na watoto wake.
 
Kikwete kafanya maamuzi magumu sana
1. Amejitahidi kutowakamata mafisadi ili nchi isije ikayumba
2. Alikuwa ameshindwa uchaguzi lkn akachakachua mchana kweupeee
3. Alifanya ikulu mradi wa familia
4. Anajitahidi kwenda nje kila mara ili watz tupate misaada mingi ya kutuendeleza
5. Alisema wazi kuwa tz kuna udini
6. Amekuwa anawaweka sana waislamu wenzake sehemu mbalimbali bila kujali elimu na uwezo wao
7. Ni rais ambaye anafanya maamuzi magumu tena haraka sana
"hakuna rais aliyewahi kufanya km haya kwa hiyo kikwete ni rais mwenye uwezo mkubwa wa kufanya maamuzi magumu"
 
Hapa tunasubiri comment za Faizafox,MS hatumtegemei manake adhabu yake nadhani bado haijaisha!
 
Kikwete kafanya maamuzi magumu sana1. Amejitahidi kutowakamata mafisadi ili nchi isije ikayumba2. Alikuwa ameshindwa uchaguzi lkn akachakachua mchana kweupeee3. Alifanya ikulu mradi wa familia4. Anajitahidi kwenda nje kila mara ili watz tupate misaada mingi ya kutuendeleza5. Alisema wazi kuwa tz kuna udini6. Amekuwa anawaweka sana waislamu wenzake sehemu mbalimbali bila kujali elimu na uwezo wao7. Ni rais ambaye anafanya maamuzi magumu tena haraka sana"hakuna rais aliyewahi kufanya km haya kwa hiyo kikwete ni rais mwenye uwezo mkubwa wa kufanya maamuzi magumu"
8. Kusema hajui chanzo cha umasikini Afrika.9. Amefanya maamuzi magumu sana kuipinga ile filamu ya mapanki ya Mfaransa Hubert Sauper pamoja na kuwa ilibeba ukweli.10. Amefanya maamuzi magumu sana kumnyima uraia Bashe kisa aligombana na mwanawe na kumpa nafasi mchakachuaji Kigwangalla na kumyima nafasi Selelii aliyekuwa mshindi wa pili.11. Amefanya maamuzi magumu sana kusitisha ujenzi wa uwanja wa taifa.....
 
12: Kafanya maamuzi magumu sana kuliko maraisi wote waliomtangulia kuwadanganya wananchi wa Kigoma kwa kuwaahidi kuwa wakimchagua kuwa raisi kwa awamu ya nne ataigeuza Kigoma kuwa DUBAI!
 
Uamuzi mgumu gani aliofanya Kikwete? Je Kikwete anaweza thubutu wanyoshea kidole viongozi wa dini yake au kusitisha tu shughuli zifanywazo na waislamu kwa manufaa ya taifa zima?

Uamuzi mgumu wa Nyerere kutaifisha shule zote za Kanisa lake kwa manufaa ya taifa ili waislamu wajisikie huru kuingia bila woga wa kuhofia watoto wao kushinikizwa kufundishwa sala ya Baba Yetu halikuwa jambo la kawaida, na ni ujasiri mkubwa sana.

Watu na familia zao ambao walikuwa scattered kutoka famili moja hadi nyingine kwa mwendo wa kutwa na kuwakutanisha waishi pamoja katika vijiji vya ujamaa halikuwa jambo rahisi ila ni utashi mkubwa mno. Leo tunapofikira kupeleka huduma za msingi vijijini ni kutokana na kurahisishwa na itikadi za Nyerere kuwaweka watu pamoja.
 
Tatizo watu hamsomi historia wala kufuatilia mambo halafu mnang'ang'ania kuwaambia watu haya mambo yanafanyika kwa mara ya kwanza. Kikwete hana la maana kabisa.

Mwalimu alifanya maamuzi mengi mazito ikiwa ni pamoja na kumruhusu Mwinyi aliyekuwa akimpenda sana ajiuzulu japo hakuwa na makosa yeye kama yeye isipokuwa watu wa chini yake. Mwalimu alisimamia rais wa Zanzibar ajiuzulu alipokwenda kinyume na katiba....na mengine mengi.

Tukija kwa Mwinyi, pamoja na upole wake wote, mwaka 1994 mwishoni hakuona taabu kulivunja baraza la mawaziri na kumpiga chini waziri mkuu Malecela na katibu mkuu wa CCM hayati Kolimba alipoona mambo yanakwenda kombo kutokana na ushauri wao mbovu.

Tukija kwa Mkapa, alimfungulia mashitaka ya ufisadi waziri wa zamani wa ujenzi Nalaila Kiula. Alifanya maamuzi makubwa sana kuunda TRA ili kodi zetu zikusanywe kwa jitihada zote. Alikubali na kuwashinikiza maswahiba wake wajiuzulu, kama waziri wa fedha Prof Mbilinyi, Mporogomyi. Na pia waziri wa biashara Idd Simba. Na hata Simba alipoleta siasa za ukaburu za uzawa Mkapa hakuona haya kuzipinga bayana. Mkapa akafanya maamuzi makubwa zaidi kuanzisha mfuko wa barabara baada ya kuona wafadhili wanaleta nyodo kusaidia kujenga barabara. Akafanya maamuzi magumu kuamua majengo ya Chimwaga yapewe serikali ianzishe Udom ila nashangaa sana hizo compliments anapewa popo. Akafanya maamuzi makubwa sana ya kujenga uwanja wa mpira ingawa yeye si mwanamichezo. Akafanya maamuzi makubwa sana ya kujenga uwanja wa kimataifa kule Mbeya mfupa ulioishinda serikali toka miaka ya 70. Mkapa pamoja na ufisadi wake alifanya kazi inayoonekana. Na ujasiri wake mkubwa ni kudhibiti mfumuko wa bei kwa miaka kumi jambo ambalo hakuna rais wa Tanzania kawahi kuweza kulifanya.

Mkapa akafanya ujasiri mwingine kuwanyang'anya Tanesco (tena bora kabisa ma...fa...la sana hawa) majengo yao na kuwapa waislamu waanzishe nao chuo kikuu.

Mie nawashangaa sana mnaomsifia mtu ambaye uamuzi wake wa kijasiri ni kukesha angani kama popo, kuyafahamu majina ya mafisadi na wauza unga na kuyakalia chumbani na mkewe na watoto wake.
Mbona hueleweki wewe? Au ni furahia day (friday) hange over. Njoo tupate tusker ya baridi hapa kili time acha kupoteza muda hapo!
 
Mbona hueleweki wewe? Au ni furahia day (friday) hange over. Njoo tupate tusker ya baridi hapa kili time acha kupoteza muda hapo!
Wewe ndo hueleweki tunazungumzia maamuzi hapa hatuzungumzii pombe.
 
..JK kuendelea madarakani wakati akijua kabisa kwamba ni fisadi sawa na Rostam,Chenge,Lowassa, na zaidi kazi imemshinda, nadhani ni uamuzi mgumu usiomfano. unless mdai JK ni mtu asiyejitambua.
 
Asalaam Aleykum, Bwana Apewe Sifa wana JamiiForums.

Kwa namna yoyote ile,JK amefanya maamuzi magumu ambayo hata Marehemu Bwana Bongo Ondimba asingeweza kuyafanya.
1.Kufanya mjadala na wezi jinsi ya kulipa/kutolipa mapesa waliyoiba
2.Kutulia mjengoni na familia yake,bila kujali wala kujua kwamba Nchi inakwenda shimoni.
3.Kupiga kelele kwamba anawajua wazee wa Mihadarati then kauchuna kwa kuwatishia nyau, ilhali uwezo kikatiba tumempa.
4.Kuchoma pesa ya Umma kwa kuruka na ndege kwenda USA kuomba Vyandarua Eti kuja kupambana na Malaria, kumbe dawa ni kupambana na mazalia ya mbu.Jambo lisilohitaji kutekelezwa na yeye kwa kuwa watumishi wa Idara husika wanaolipwa mishahara kwa kazi hiyo wamejaa tele.
5.Kukiri hadharani tena Ughaibuni kwamba hata yeye hajui kwanini Bongo yetu ni maskini.Huo ni uamuzi mgumu unaohitaji akili zaidi ya mwendawazimu.
 
Asalaam Aleykum, Bwana Apewe Sifa wana JamiiForums.Kwa namna yoyote ile,JK amefanya maamuzi magumu ambayo hata Marehemu Bwana Bongo Ondimba asingeweza kuyafanya.1.Kufanya mjadala na wezi jinsi ya kulipa/kutolipa mapesa waliyoiba2.Kutulia mjengoni na familia yake,bila kujali wala kujua kwamba Nchi inakwenda shimoni.3.Kupiga kelele kwamba anawajua wazee wa Mihadarati then kauchuna kwa kuwatishia nyau, ilhali uwezo kikatiba tumempa.4.Kuchoma pesa ya Umma kwa kuruka na ndege kwenda USA kuomba Vyandarua Eti kuja kupambana na Malaria, kumbe dawa ni kupambana na mazalia ya mbu.Jambo lisilohitaji kutekelezwa na yeye kwa kuwa watumishi wa Idara husika wanaolipwa mishahara kwa kazi hiyo wamejaa tele.5.Kukiri hadharani tena Ughaibuni kwamba hata yeye hajui kwanini Bongo yetu ni maskini.Huo ni uamuzi mgumu unaohitaji akili zaidi ya mwendawazimu.
6. Kuahidi kuwa ataileta Real Madrid
 
Mie nawashangaa sana mnaomsifia mtu ambaye uamuzi wake wa kijasiri ni kukesha angani kama popo, kuyafahamu majina ya mafisadi na wauza unga na kuyakalia chumbani na mkewe na watoto wake.

Kumbuka kwamba huyu bINADAMU anaropoka sana, inawezekana alisema tu kwa kujifurahisha na ilikuwa danganya toto.
 
Kikwete kafanya maamuzi magumu sana
1. Amejitahidi kutowakamata mafisadi ili nchi isije ikayumba
2. Alikuwa ameshindwa uchaguzi lkn akachakachua mchana kweupeee
3. Alifanya ikulu mradi wa familia
4. Anajitahidi kwenda nje kila mara ili watz tupate misaada mingi ya kutuendeleza
5. Alisema wazi kuwa tz kuna udini
6. Amekuwa anawaweka sana waislamu wenzake sehemu mbalimbali bila kujali elimu na uwezo wao
7. Ni rais ambaye anafanya maamuzi magumu tena haraka sana
"hakuna rais aliyewahi kufanya km haya kwa hiyo kikwete ni rais mwenye uwezo mkubwa wa kufanya maamuzi magumu"

teh teh teh teh teh teh!
 
Tatizo watu hamsomi historia wala kufuatilia mambo halafu mnang'ang'ania kuwaambia watu haya mambo yanafanyika kwa mara ya kwanza. Kikwete hana la maana kabisa.

Mwalimu alifanya maamuzi mengi mazito ikiwa ni pamoja na kumruhusu Mwinyi aliyekuwa akimpenda sana ajiuzulu japo hakuwa na makosa yeye kama yeye isipokuwa watu wa chini yake. Mwalimu alisimamia rais wa Zanzibar ajiuzulu alipokwenda kinyume na katiba....na mengine mengi.

Tukija kwa Mwinyi, pamoja na upole wake wote, mwaka 1994 mwishoni hakuona taabu kulivunja baraza la mawaziri na kumpiga chini waziri mkuu Malecela na katibu mkuu wa CCM hayati Kolimba alipoona mambo yanakwenda kombo kutokana na ushauri wao mbovu.

Tukija kwa Mkapa, alimfungulia mashitaka ya ufisadi waziri wa zamani wa ujenzi Nalaila Kiula. Alifanya maamuzi makubwa sana kuunda TRA ili kodi zetu zikusanywe kwa jitihada zote. Alikubali na kuwashinikiza maswahiba wake wajiuzulu, kama waziri wa fedha Prof Mbilinyi, Mporogomyi. Na pia waziri wa biashara Idd Simba. Na hata Simba alipoleta siasa za ukaburu za uzawa Mkapa hakuona haya kuzipinga bayana. Mkapa akafanya maamuzi makubwa zaidi kuanzisha mfuko wa barabara baada ya kuona wafadhili wanaleta nyodo kusaidia kujenga barabara. Akafanya maamuzi magumu kuamua majengo ya Chimwaga yapewe serikali ianzishe Udom ila nashangaa sana hizo compliments anapewa popo. Akafanya maamuzi makubwa sana ya kujenga uwanja wa mpira ingawa yeye si mwanamichezo. Akafanya maamuzi makubwa sana ya kujenga uwanja wa kimataifa kule Mbeya mfupa ulioishinda serikali toka miaka ya 70. Mkapa pamoja na ufisadi wake alifanya kazi inayoonekana. Na ujasiri wake mkubwa ni kudhibiti mfumuko wa bei kwa miaka kumi jambo ambalo hakuna rais wa Tanzania kawahi kuweza kulifanya.

Mkapa akafanya ujasiri mwingine kuwanyang'anya Tanesco (tena bora kabisa ma...fa...la sana hawa) majengo yao na kuwapa waislamu waanzishe nao chuo kikuu.

Mie nawashangaa sana mnaomsifia mtu ambaye uamuzi wake wa kijasiri ni kukesha angani kama popo, kuyafahamu majina ya mafisadi na wauza unga na kuyakalia chumbani na mkewe na watoto wake.
Ndo tatizo la kuandika ukiwa chooni.
Unajua Nalaila kiula hakufanywa chochote?
najua mkapa ilifikia hata kuwaambia viongozi wenzake akiwemo Kikwete kuwa mimi ni mwenyekiti, sitowapatisha wakati akimtetea Prof mbilinyi. kwa kifupi umeandika utumbo either kwa makusudi au kwa kutokujua.
Pure kinyesi
 
Ndo tatizo la kuandika ukiwa chooni.Unajua Nalaila kiula hakufanywa chochote?najua mkapa ilifikia hata kuwaambia viongozi wenzake akiwemo Kikwete kuwa mimi ni mwenyekiti, sitowapatisha wakati akimtetea Prof mbilinyi. kwa kifupi umeandika utumbo either kwa makusudi au kwa kutokujua. Pure kinyesi
Wewe ndo unayeandika kinyesi.Nalaila alishinda kesi. Kushitakiwa mtu na kushinda kesi ni vitu viwili tofauti. Jambo jingine, sifahamu wewe unatetea lipi katika haya maandishi niliyoyaandikia chooni. Wewe unayeandikia kwenye shimo la choo andika jambo la msingi ili nasi tusiojua tupate kujua.
 
Ndo tatizo la kuandika ukiwa chooni.Unajua Nalaila kiula hakufanywa chochote?najua mkapa ilifikia hata kuwaambia viongozi wenzake akiwemo Kikwete kuwa mimi ni mwenyekiti, sitowapatisha wakati akimtetea Prof mbilinyi. kwa kifupi umeandika utumbo either kwa makusudi au kwa kutokujua. Pure kinyesi
Wewe ndo unayeandika kinyesi.Nalaila alishinda kesi. Kushitakiwa mtu na kushinda kesi ni vitu viwili tofauti. Jambo jingine, sifahamu wewe unatetea lipi katika haya maandishi niliyoyaandikia chooni. Wewe unayeandikia kwenye shimo la choo andika jambo la msingi ili nasi tusiojua tupate kujua.
 
Back
Top Bottom