The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Kwa watu tunaofuatilia siasa na matukio yanayotokea nchi hii tunafahamu kua waziri mkuu alifanya ziara ya kikazi kwa siku 4 mkoani Morogoro, na kila wilaya alioenda kulikua na ubadhirifu wa pesa usio na kipimo. Watu wanakula hela za serikali kama vile ni pesa zao binafsi. Waziri mkuu alikua hadi na majina ya hao watumishi na kuyasoma hadharani.
Kwa serikali hii inayojinasibu kupambana na ufisadi hata wa kiwango kidogo kabisa, nashangaa kuona bado inawaacha ofisini maafisa madhuhuri(accounting officers) kama wakurugenzi, mhazini wa wilaya na wakuu wa vitengo.
Mbaya zaidi kila wilaya kuna mkuu wa takukuru, mkuu wa polisi na mkuu wa usalama wa taifa na watu wao, wakati hizi rushwa na wizi wa mali ya umma unatokea wao walikua wapi na kwa nini hadi sass bado wako kazini.
Kwa kweli nashangaa kuona bado hao jamaa wako kazini hadi sasa.
Kwa serikali hii inayojinasibu kupambana na ufisadi hata wa kiwango kidogo kabisa, nashangaa kuona bado inawaacha ofisini maafisa madhuhuri(accounting officers) kama wakurugenzi, mhazini wa wilaya na wakuu wa vitengo.
Mbaya zaidi kila wilaya kuna mkuu wa takukuru, mkuu wa polisi na mkuu wa usalama wa taifa na watu wao, wakati hizi rushwa na wizi wa mali ya umma unatokea wao walikua wapi na kwa nini hadi sass bado wako kazini.
Kwa kweli nashangaa kuona bado hao jamaa wako kazini hadi sasa.