Wakuu, hawa vijana ni hazina ya Taifa, hizi mshawahi kuwasilikiliza na michano yao ya hatari? Mimi binafsi nawafananisha na MaMc walipita kama Kwanza Unit (Kwanzania), Imam Abas, Traveller mtoto wa Mbagala. Hawa madogo ni noma, kama wangekuwa wamezaliwa USA, wangekwishakuwa................................
Ebu sikza hii pini Nash mc & P the mc ft One(incredible) & Stereo-TUNAIZINDUA MITAA - YouTube
Ebu sikza hii pini Nash mc & P the mc ft One(incredible) & Stereo-TUNAIZINDUA MITAA - YouTube