Yap. Na hii album yake nilimtafuta physicallyumewahi kukutana nae?
Ukipeleka ngoma kama ni hiphop basi utaulizwa umetaoka mkoa ganiMmmh wabongo bwana kwa kujifanya much know!! Kwa iyo wewe unaifahamu hip hop kuliko Nash Maalimu! Sijui umenielewa au nirudi nimelewa?
We jamaa usitake kufanya kila mtu achane ww unavyotaka.sasa kila mc akianza kurap matrap yenu sijui ndo new school unadhani itakuaje.ndomana wapo rappers wenu wa new skuli zenu na wapo wa oldskuli na tupo pia mashabiki wa mcs dizaini ya kina nash.unatolea mfano wa ngoma kama zima,homa imenizidia kua hazina content,kwahiyo ngoma zake zipo hivyo?Tustick kwenye hiphop mkuu,nash anafanya hiphop ya kishamba sio kwamba anarap content ndio maana wabongo hawamsikilizi nyimbo kama zima,homa imenizidia na asiyehisika na hiphop atoke zina content gani?.
Nash hagusi hata robo ya bonta maarifa alafu sikwamba anabaniwa na media ni kwamba hana good conscious rap song ya ku offer kwenye hiphop industry amebaki kujisifia tu mtaani.
7000 anakutumia WhatsApp audio zote zaidi ya nyimbo 14
Kwanza lazima kumpongeza Nash MC kwa kutoa album licha ya mazingira kuwa magumu kwa wasanii wa TZ na majority wamegoma kutoa album pia pongezi kwa kutoa moja ya album bora kwenye kizazi cha sasaKuna challenge katika distribution model ya kazi za albamu. Hapa naona kuna fursa ya kuwasaidia wasanii wetu upande wa kuuza kazi zao. Kukua kwa ICT kumefanya soko la albamu likafa, maana hakuna ambaye alikuwa ananunua CD wala kaseti tena. Sasa hii mfumo wa kuuza kwa kutegemea Whatsapp wenyewe nao ni mgumu. Ndo maana sasa hivi watu wana rely kwenye streaming zaidi. Lakini hakuna mfumo wa streaming ambao ni rafiki kwa wasanii wa kibongo. Lakini ipo fursa ya wasanii kufaidika na kazi zao iwapo tutakuja na mfumo bora wa streaming au kununua kazi online.
Yafuatayo ni baadhi ya mapungufu kwenye mfumo anaoutumia Maalim Nash. Mahesabu yake ya kuuza albamu kwa shilingi 7000 mpaka 10,000 yatamfanya asipate wanunuzi wengi kwa sababu zifuatazo. Tuangalie demography ya mashabiki wake. Je amezingatia uwezo wao wa kulipa? Bei anayouza anaweza akauza mfano kwa watu 1000. Lakini angeuza kwa bei ya chini zaidi, angepata watu wengi zaidi (economies of scale). Kwa analysis ya haraka, mashabiki wa Nash EMcee huwezi kuwakuta Mbezi Beach au Kimara. Wengi watakuwa mitaaa ya Temeke zaidi. Je amelifikiria suala hilo? Market segmentation ni muhimu sana.
Kitu cha pili ambacho hakipo sawa ni mode ya distribution yake ina gap kubwa na mode ya payment (decoupled). Hivi vitu vinatakiwa viwe ndani ya mfumo mmoja. Kitu kingine anachokosea ni yeye kuonekana anafanya kila kitu, mfano marketing, kuimba, n.k. Kazi zingine inabidi zifanywe na menejimenti. Kama msanii unatakiwa uweke focus kwenye kutengeneza kazi halafu uwe na timu nzuri inayokusimamia...
Hawa jamaa kama watajipanga vizuri soko la albam linalipa vizuri sana wanatoboa kwa ushauri tu jamaa wangeongea na basata wapate hati miliki ya kazi zao hii itafanya kuwabana wamiliki wa blog zote bongo wasisambaze nyimbo zao hii ingesaidia sana
Kweli kabisa, hawa jamaa wanatengeneza njia kwa madogo wanaokuja, cha ajabu watu wanawaponda tena!! Yani nashindwa kuelewa tufanyeje sasa? Maana hawa wasipoforce kuleta album sokini nani ataleta. Kwanini tusikubali kwamba wanafanya mapinduzi kubadili mtazamo wa kwamba hip hop haiuzi
[/QUOTE
mashabiki wa bongo fleva wanaponda wanazani mziki wa bongo fleva ndo unaolipa kumbe mabosi wa wasanii ndio wanaonufaika na sio wasanii
Wewe ni wale vijana wanaovaa suruali za kubana chini za kike..haya mambo ya kina Nash MC huyawezi kaa kimya😬Hiphop anayo fanya Nash na lunduno tukimtoa unju ni ya kizamani sana ilishafanywa miaka ya 90 Arusha ndio maana wakifikaga sua wanachorwa tuu.Abadilike afanye swagah kidogo na content.
Nadhani sijaeleweka mkuu hasa kwenye market segments. Nimezungumzia mashabiki wa Nash wapo wapi. Nimezungumzia suala la economies of scale. Unaweza uza kitu kwa elfu kumi wakaishia kununua watu elfu 1000. Lakini ungeuza pengine kwa elfu tatu wangenunuua watu laki moja. Hiyo ndo maana ya economies of scale. Suala la pili ni distribution strategy. Unapokuwa na product unaiuza online , hatua ya kwanza huwa ni kuwashawishi watu kununua, kupitia mbinu mbali mbali. Then utapeleka watu katika kufanya maamuzi ambapo inatakiwa njia yakununua iwe rahisi na kiwango kiwe kidogo mpaka mtu asighairi katikati. Njia ya manunuzi ikiwa ndefu na sio intuitive inawafanya wananuzi wengi waishie kusema nitanunua. Lengo langu nilikuwa ni kuangalia nini kinaweza kufanyika kuwasaidia wasanaiii kama Nash EMc kudistribute kazi zao kwa urahisi kupitia teknolojiaKwanza lazima kumpongeza Nash MC kwa kutoa album licha ya mazingira kuwa magumu kwa wasanii wa TZ na majority wamegoma kutoa album pia pongezi kwa kutoa moja ya album bora kwenye kizazi cha sasa
Sidhani kama bei ya 10,000($4.3) kwa album ni kubwa ukilinganisha na content iliyopo kwenye album (20 +3 bonus track ) ni sawa na 500 per track.Uki-calculate cost za production za album ambayo ameitumia
Kwa music wa TZ ni wasanii wachache sana wenye uwezo wa kuwalipa management ya kuwasimamia kazi zao na bado tunalalamika bei ya album ni kubwa sijui hiyo hela ya kuwalipa itatoka wapi
Nadhani sijaeleweka mkuu hasa kwenye market segments. Nimezungumzia mashabiki wa Nash wapo wapi. Nimezungumzia suala la economies of scale. Unaweza uza kitu kwa elfu kumi wakaishia kununua watu elfu 1000. Lakini ungeuza pengine kwa elfu tatu wangenunuua watu laki moja. Hiyo ndo maana ya economies of scale. Suala la pili ni distribution strategy. Unapokuwa na product unaiuza online , hatua ya kwanza huwa ni kuwashawishi watu kununua, kupitia mbinu mbali mbali. Then utapeleka watu katika kufanya maamuzi ambapo inatakiwa njia yakununua iwe rahisi na kiwango kiwe kidogo mpaka mtu asighairi katikati. Njia ya manunuzi ikiwa ndefu na sio intuitive inawafanya wananuzi wengi waishie kusema nitanunua. Lengo langu nilikuwa ni kuangalia nini kinaweza kufanyika kuwasaidia wasanaiii kama Nash EMc kudistribute kazi zao kwa urahisi kupitia teknolojia
You clearly don't understand nachokiongea. Nikutakie siku njema bosi.Serious unataka hii album iuzwe Tshs 3000 so 10,000 ni expensive ?
Hayupo serious huyo jamaa ,Serious unataka hii album iuzwe Tshs 3000 so 10,000 ni expensive ?
Kweli ndugu vijana wa sasa wengi wavivu wa kufikiria hawataki kuumiza ubongo sasa shida huu uvivu unaenda mbali zaid hadi kwenye uvivu wa kazi,kushindia chipsi,kukosa nguvu za kiume nk. Kwanza wengi hawajui mziki wanasikiliza beats tu hata ukirudia maneno yaliyopo kwenye wimbo atakuuliza nan kaimba hivyoKila mtu anapenda fleva tofauti,mbona souljer boy amechokwa na swaga zake mpya na Kendrick Lamar anafanya hip hop kama zamani na ana tuzo nyingi,tatizo wabongo hampendi mziki wa kufikirisha ubongo mnapenda beat(mdundo) na swaga zisizo na maana.
Hapa umenena!Kila mtu anapenda fleva tofauti,mbona souljer boy amechokwa na swaga zake mpya na Kendrick Lamar anafanya hip hop kama zamani na ana tuzo nyingi,tatizo wabongo hampendi mziki wa kufikirisha ubongo mnapenda beat(mdundo) na swaga zisizo na maana.
Najuta kwanini sikuisoma hii komenti mapema iliyojaa ukweli usiopendwa kusikika masikioni mwa wengi...Mkuu Mansuli alishakwama tangu nimemsikia 2006 hivi na bado yuko kwenye mziki na hasikiki,yeye ni kama block 41 kina kalapina ambao hawasikiki,Mbona Nash anazungumzia mambo ya sasa ,ni media tu zinaangalia kick,ila Nash kazungumzia vitu vingi vya sasa,...sema tu akili za watu wengi sasa hivi bongo hawasikilizi vitu vya maana zaidi ya inama,nyege nyegezi
Tustick kwenye hiphop mkuu,nash anafanya hiphop ya kishamba sio kwamba anarap content ndio maana wabongo hawamsikilizi nyimbo kama zima,homa imenizidia na asiyehisika na hiphop atoke zina content gani?.
Nash hagusi hata robo ya bonta maarifa alafu sikwamba anabaniwa na media ni kwamba hana good conscious rap song ya ku offer kwenye hiphop industry amebaki kujisifia tu mtaani.