Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,783
- 66,962
Albam sh ngapi wakuu?
We need a real hip hopHiphop anayo fanya Nash na lunduno tukimtoa unju ni ya kizamani sana ilishafanywa miaka ya 90 Arusha ndio maana wakifikaga sua wanachorwa tuu.Abadilike afanye swagah kidogo na content.
Ariiiiiiiifuuu unaongea upupuHiphop anayo fanya Nash na lunduno tukimtoa unju ni ya kizamani sana ilishafanywa miaka ya 90 Arusha ndio maana wakifikaga sua wanachorwa tuu.Abadilike afanye swagah kidogo na content.
Albam sh ngapi wakuu?
Ariiiiiiiifuuu unaongea upupu
Pre-order bei ilikuwa 7,000 album ina track 20 plus bonus ya track 37000 anakutumia WhatsApp audio zote zaidi ya nyimbo 14
Ila Nash anahustle, anapenda hiphop ila ni kama haimlipi.
Pigo alizoingia nazo mtaani kuuza muziki daa utadhani sijui kibaka wa wapi kumbe ni msanii mkubwa tu, hata kama ni hiphop kina Nikki mbishi walijitahidi kupendezana.
Nash anavaa kama muokota makopo vile sijui msela anakwama wapi, ila muziki wake naupa 100%, kafanya kitu kikubwa.
Tustick kwenye hiphop mkuu,nash anafanya hiphop ya kishamba sio kwamba anarap content ndio maana wabongo hawamsikilizi nyimbo kama zima,homa imenizidia na asiyehisika na hiphop atoke zina content gani?.Mkuu Mansuli alishakwama tangu nimemsikia 2006 hivi na bado yuko kwenye mziki na hasikiki,yeye ni kama block 41 kina kalapina ambao hawasikiki,Mbona Nash anazungumzia mambo ya sasa ,ni media tu zinaangalia kick,ila Nash kazungumzia vitu vingi vya sasa,...sema tu akili za watu wengi sasa hivi bongo hawasikilizi vitu vya maana zaidi ya inama,nyege nyegezi
Tustick kwenye hiphop mkuu,nash anafanya hiphop ya kishamba sio kwamba anarap content ndio maana wabongo hawamsikilizi nyimbo kama zima,homa imenizidia na asiyehisika na hiphop atoke zina content gani?.
Nash hagusi hata robo ya bonta maarifa alafu sikwamba anabaniwa na media ni kwamba hana good conscious rap song ya ku offer kwenye hiphop industry amebaki kujisifia tu mtaani.
Tustick kwenye hiphop mkuu,nash anafanya hiphop ya kishamba sio kwamba anarap content ndio maana wabongo hawamsikilizi nyimbo kama zima,homa imenizidia na asiyehisika na hiphop atoke zina content gani?.
Nash hagusi hata robo ya bonta maarifa alafu sikwamba anabaniwa na media ni kwamba hana good conscious rap song ya ku offer kwenye hiphop industry amebaki kujisifia tu mtaani.
Yupo ana bang kwenye media.Muambie nash wasikilizaji wa hiphop hawataki kusikiliza ngonjera kama za mpoto wanataka flow kali kama za p mawenge,chindo man,mo technique na unju akiendelea na hiyo style yake atabaki kuwa underground wa milele tuzo,show kubwa na top ten atasikia kwenye bomba.Bonta yuko wapi,we ndo mshamba
Acha utani mkuu ngoma za bonta zote zinafika top ten ukienda interior uko wulize watu wanaomjua nash hakuna lakini bonta watakuambia ni msaanii wa hiphop,sio kweli mziki content hiphop haiwi promoted mziki wowote mbaya hautakiwi.Kwanza kila mtu ana ladha yake tofauti kati ya Nash na Bonta ,na wote ni wazuri,unakimbilia kumsema Bonta je na yeye ansikika kama Nash?Bonta pia hasikiki ,ni kwamba watu wanapromote mziki wa starehe kuliko wa kufikirisha
Acha utani mkuu ngoma za bonta zote zinafika top ten ukienda interior uko wulize watu wanaomjua nash hakuna lakini bonta watakuambia ni msaanii wa hiphop,sio kweli mziki content hiphop haiwi promoted mziki wowote mbaya hautakiwi.
Acha umamaTustick kwenye hiphop mkuu,nash anafanya hiphop ya kishamba sio kwamba anarap content ndio maana wabongo hawamsikilizi nyimbo kama zima,homa imenizidia na asiyehisika na hiphop atoke zina content gani?.
Nash hagusi hata robo ya bonta maarifa alafu sikwamba anabaniwa na media ni kwamba hana good conscious rap song ya ku offer kwenye hiphop industry amebaki kujisifia tu mtaani.
Respect your elders hauko Facebook.Acha umama
Mkuu imwage hap tuipakueView attachment 1123677
Hakika album yako imesheheni sana madini ambayo kwa kipindi hiki ni ngumu kuyapata kwa wanamuziki wengne
Nmpenda pia ubunifu wako wa njia ya usambazaji wa watu kulipia kwanza mwezi mmoja kabla kwani kwa njia hiyo hata sasa watu wakisambaziana nyimbo zao angalau jasho lako utakuwa umelifaidi
Nimependa pia bei ya album 7000 si kubwa ambayo kila mtu ambaye anapenda muziki anaimudu
Nimependa kusikia baadhi ya wanamuziki wakubwa kama jay dee na fatma kwenye album yako
Nmependa kusikia uchambuzi mzuri wa lugha na fasihi ya kweli kwenye nyimbo zako
Nimependa jinsi ulivyogusa nyanja mbalimbali ya jamii kama maradhi, elimu,uchumi,siasa, na sanaaa huku ukiwa na nyimbo yenye ujumbe mzito wa makamanda wetu walinda nchi
Mwisho my best song ambayo hakika umenikumbusha mbali ni Salaam za Amani
Nyimbo ni nzuri ila zingne biti zipo oldschool sana pamoja na chorus mda mwngne hilo hebu lifanyie kazi