Nasema: Kila muosha Maiti naye ataoshwa tu

Lunyungu

JF-Expert Member
Aug 7, 2006
8,873
1,894
Kuanzia mwaka Jana yule Mungu wa maajabu , Mungu wa kutumainiwa na watoa vilio aliamua kupiga kambi rasmi hapa nyumbani kwetu Afrika Mashariki na hasa Kenya na Tanzania .Najua sababu ni wetu wetu kuishia makanisani kuishi kwa kumuomba na kulia kulia bila ya kuwaza ubaya dhidi ya viongozi bali tunasema Mungu waumbue siku moja .

Mambo yakaanza kwa Zitto kuleta hoja binafsi Fisadi Lowasa na Sitta na genge lao wakapinga na kumpa adhabu bwana Zitto na kumpa lawama lakini Mungu alikuwa kesha fika Tanzania akampa Zitto ujasiri na watanzania wakafunguliwa masikio wakasikia na macho yakaona wakakataa ujinga wa Lowasa, Sitta na genge la baadhi ya wabunge wa CCM wanafiki .

Wakajenga jungu wakamfukuza kijana na kula njama za kuzima hoja ya BOT ya Slaa wakaenda kwa Watanzania wakasema .Mungu akabariki na akaendelea kuwapa moyo Watanzania na nguvu .JK akapigwa na butwaa lakini ukweli ukamwingia .Tume 2 sasa yake ya madini na ya bunge juu ya Richmonduli .

Ghafla yakazuka kule Kenya ya kwao ambayo sisi tumekuwa tukiuapata lakini tunaimba tuna amani kumbe tuna njaa na uoga maana wanajeshi wetu , polisi na FFU huwa wanafurahi sana wakitumwa kawapigeni wenzenu.Kenya wakajaribu moto umewaka .Muda umeingiliana richmond report nje mambo yamewaka .Mungu amempa busara JK akasema isomwe hadharani .

Kule nyuma kila fedhuli aliyesimama na kuua sauti ya Watanzania yaani Zitto kutoka Bungeni akapatwa na mkasa kati yao wote ni mmoja alibaki salama .Kila mnafiki Mungu alimjibu hapa hapa .

Mamvi na Karamagi wakawa wamebaki wakidhani wataendelea lakini ujinga na fitina kwa watanzania na Zitto na hata upinzani sasa ukweli umewaondoa .Kwa njia ile ile waliyo muondoa Zitto na kutufanya tufe kwa umasikini huku wanaiba na kutumia mabavu leo hawako tena pale walipokuwa wanaringia na kutesea .Nasema kweli kila muosha maiti ataoshwa na sasa hawa wamesha oshwa .
 
Kuanzia mwaka Jana yule Mungu wa maajabu , Mungu wa kutumainiwa na watoa vilio aliamua kupiga kambi rasmi hapa nyumbani kwetu Afrika Mashariki na hasa Kenya na Tanzania .Najua sababu ni wetu wetu kuishia makanisani kuishi kwa kumuomba na kulia kulia bila ya kuwaza ubaya dhidi ya viongozi bali tunasema Mungu waumbue siku moja .

Mambo yakaanza kwa Zitto kuleta hoja binafsi Fisadi Lowasa na Sitta na genge lao wakapinga na kumpa adhabu bwana Zitto na kumpa lawama lakini Mungu alikuwa kesha fika Tanzania akampa Zitto ujasiri na watanzania wakafunguliwa masikio wakasikia na macho yakaona wakakataa ujinga wa Lowasa, Sitta na genge la baadhi ya wabunge wa CCM wanafiki .

Wakajenga jungu wakamfukuza kijana na kula njama za kuzima hoja ya BOT ya Slaa wakaenda kwa Watanzania wakasema .Mungu akabariki na akaendelea kuwapa moyo Watanzania na nguvu .JK akapigwa na butwaa lakini ukweli ukamwingia .Tume 2 sasa yake ya madini na ya bunge juu ya Richmonduli .

Ghafla yakazuka kule Kenya ya kwao ambayo sisi tumekuwa tukiuapata lakini tunaimba tuna amani kumbe tuna njaa na uoga maana wanajeshi wetu , polisi na FFU huwa wanafurahi sana wakitumwa kawapigeni wenzenu.Kenya wakajaribu moto umewaka .Muda umeingiliana richmond report nje mambo yamewaka .Mungu amempa busara JK akasema isomwe hadharani .

Kule nyuma kila fedhuli aliyesimama na kuua sauti ya Watanzania yaani Zitto kutoka Bungeni akapatwa na mkasa kati yao wote ni mmoja alibaki salama .Kila mnafiki Mungu alimjibu hapa hapa .

Mamvi na Karamagi wakawa wamebaki wakidhani wataendelea lakini ujinga na fitina kwa watanzania na Zitto na hata upinzani sasa ukweli umewaondoa .Kwa njia ile ile waliyo muondoa Zitto na kutufanya tufe kwa umasikini huku wanaiba na kutumia mabavu leo hawako tena pale walipokuwa wanaringia na kutesea .Nasema kweli kila muosha maiti ataoshwa na sasa hawa wamesha oshwa .

Kumbuka kwamba "Kipimo unachowapimia wenzako na wewe utapimiwa hicho hicho, ila cha kwako kitajazwa zaidi, kitashindiliwa na kusukwa sukwa" Haya ndiyo yanayowapata hawa mafisadi sasa.
 
Siku moja kabla ya uchaguzi mtume na nabii mwingira alisema kwenye kipindi cha channel 10 kuwa baada ya maombi ya watanzania kumlilia mungu naye amejibu na kusema kuwa kila atakaye pita uchaguzi kwa rushwa atakufa (kufa kibiblia maana yake ni kutengana). Sasa tumeanza kushuhudia utenganisho. wengine wanaatengana na vyeo vyao, wengine mikono,wengine siasa na wengine wanatengana na miili yao kabisa. Mimi namuogopa Mungu!
 
..mwaka huu yatasemwa mengi,ila nguvu ya umma ndio itatawala hatimaye!

Nadhani sisiemu sasa ndio wanajitahidi kusafisha chama. Kama wanasafisha kwa muda huu nadhani ni mwafaka, maana 2010 sio mbali sana.
 
Nadhani sisiemu sasa ndio wanajitahidi kusafisha chama. Kama wanasafisha kwa muda huu nadhani ni mwafaka, maana 2010 sio mbali sana.

Unajua mtu akikanyaga tope hata awe msafi kiasi gani lazima achafuke. Sisiemu wamechafuka kuliko tunavyofikiri. Hata kumtoa EL kwenye u-PM hakumuondelei ushiriki wake kwenye vikao vya Chama. Ataendelea kutoa mchango kwenye vikao vya juu vya chama kama kawaida. Sasa kama mtunga sera amechafuka unatarajia Serikali iwe safi? Kujisafisha kwa sisiemu ni kuwafukuza na kuwanyima uongozi ndani ya chama watu ambao wame-rape uchumi wa Taifa. Vinginevyo ni danganya toto.Ni ili wafanikiwe 98% watanguka jambo ambalo litahitimisha uwepo wake.
 
Mugo"The Great";138799 said:
Unajua mtu akikanyaga tope hata awe msafi kiasi gani lazima achafuke. Sisiemu wamechafuka kuliko tunavyofikiri. Hata kumtoa EL kwenye u-PM hakumuondelei ushiriki wake kwenye vikao vya Chama. Ataendelea kutoa mchango kwenye vikao vya juu vya chama kama kawaida. Sasa kama mtunga sera amechafuka unatarajia Serikali iwe safi? Kujisafisha kwa sisiemu ni kuwafukuza na kuwanyima uongozi ndani ya chama watu ambao wame-rape uchumi wa Taifa. Vinginevyo ni danganya toto.Ni ili wafanikiwe 98% watanguka jambo ambalo litahitimisha uwepo wake.



Lowasa angalikuwa wise na akili nzuri basi ajiondoe hata Ubunge na yeye ale pension tu .Lakini Slaa has called for Police investigation means the matter has to go to court .Wacha tuone how far is JK willing to tackle this issue .
 
Nadhani sisiemu sasa ndio wanajitahidi kusafisha chama. Kama wanasafisha kwa muda huu nadhani ni mwafaka, maana 2010 sio mbali sana.

Ni mapema mno kusema CCM imeaamua kujisafisha kikweli kweli....sina maana ya kupunguza uzito wa Waziri Mkuu kujiuzulu ila ikumbukwe kuwa uwigo wa Chama katika nchi yetu ni mpana sana.

Nasubiri ripoti ya Madini ambayo Dr Mwakyembe na Zitto wamo. Kisha nitasubiri kuona iwapo Takukuru, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu itasafishwa. Baada ya hayo ndipo usafi uendelee kwenye watendanji wakuu wa wizara n.k labda tuweke lengo la kupima haya mwaka 2015.
 
Kuanzia mwaka Jana yule Mungu wa maajabu , Mungu wa kutumainiwa na watoa vilio aliamua kupiga kambi rasmi hapa nyumbani kwetu Afrika Mashariki na hasa Kenya na Tanzania .Najua sababu ni wetu wetu kuishia makanisani kuishi kwa kumuomba na kulia kulia bila ya kuwaza ubaya dhidi ya viongozi bali tunasema Mungu waumbue siku moja .

Mambo yakaanza kwa Zitto kuleta hoja binafsi Fisadi Lowasa na Sitta na genge lao wakapinga na kumpa adhabu bwana Zitto na kumpa lawama lakini Mungu alikuwa kesha fika Tanzania akampa Zitto ujasiri na watanzania wakafunguliwa masikio wakasikia na macho yakaona wakakataa ujinga wa Lowasa, Sitta na genge la baadhi ya wabunge wa CCM wanafiki .

Wakajenga jungu wakamfukuza kijana na kula njama za kuzima hoja ya BOT ya Slaa wakaenda kwa Watanzania wakasema .Mungu akabariki na akaendelea kuwapa moyo Watanzania na nguvu .JK akapigwa na butwaa lakini ukweli ukamwingia .Tume 2 sasa yake ya madini na ya bunge juu ya Richmonduli .

Ghafla yakazuka kule Kenya ya kwao ambayo sisi tumekuwa tukiuapata lakini tunaimba tuna amani kumbe tuna njaa na uoga maana wanajeshi wetu , polisi na FFU huwa wanafurahi sana wakitumwa kawapigeni wenzenu.Kenya wakajaribu moto umewaka .Muda umeingiliana richmond report nje mambo yamewaka .Mungu amempa busara JK akasema isomwe hadharani .

Kule nyuma kila fedhuli aliyesimama na kuua sauti ya Watanzania yaani Zitto kutoka Bungeni akapatwa na mkasa kati yao wote ni mmoja alibaki salama .Kila mnafiki Mungu alimjibu hapa hapa .

Mamvi na Karamagi wakawa wamebaki wakidhani wataendelea lakini ujinga na fitina kwa watanzania na Zitto na hata upinzani sasa ukweli umewaondoa .Kwa njia ile ile waliyo muondoa Zitto na kutufanya tufe kwa umasikini huku wanaiba na kutumia mabavu leo hawako tena pale walipokuwa wanaringia na kutesea .Nasema kweli kila muosha maiti ataoshwa na sasa hawa wamesha oshwa .

Hapa umeboronga ndugu. Tafsiri hii ni potofu sana. Kuondoa ufisadi kunahitaji juhudi za raia wapenda haki na si sala kwa Mungu,
 
Bwana Avenue
Unaweza kuandika na wewe tukasoma .Kumtanguliza Mungu kwangu ni sahihi maana nikiwa ni mtumishi wa Serikali naogopa hata kupokea senti ndogo wacha kubwa ambazo viongozi wangu wa serikali na chama changu cha CCM wanachukua.Mungu ndiye pekee anawasimamia watanzania maana ni waoga in the name of Amani na Utulivu lakini wanaumia so Mungu anawapofusha walaji wanakula hadi nje hadi tunaona na wanaondoka kwa aibu .
 
Back
Top Bottom