rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Mkuu naona kila kona upo na Senior wako Zito,lakini unajifunza nini pale??angalia sana mdogo wangu piga kazi peke yako usikubali kujiingiza kwenye makundi ndani ya chama,nyota yako inan'gaa sana mdogo wangu,nakutakita kila heri na mafanikio kibao mbele ya safari!!!!!ni mimi mpiga kura na mlinzi wa kura zako!