Kubenea nae yupo nje ya nchi ndio maana hasikiki au kaishiwa pumzi tu?Nassari yuko Masomoni nje ya nchi ndo maana hasikiki.
Vipi, rais aliwatembelea waathirika wa tetemeko kagera?Wakuu
Hivi Nassari ameshawahi kuzungumzia yanayomkuta Lema... Ameshawahi hata kumtembelea gerezani?
Amtembelee kwani yeye mkewake?Wakuu
Hivi Nassari ameshawahi kuzungumzia yanayomkuta Lema... Ameshawahi hata kumtembelea gerezani?
Ajabu......au nasari ndo alimuotesha ile ndoto.Amtembelee kwani yeye mkewake?
Kubenea nae yupo nje ya nchi ndio maana hasikiki au kaishiwa pumzi tu?
Nasari hawez kwenda muona lema hata siku moja muache lema atoshe alijifanya sana
Wakuu
Hivi Nassari ameshawahi kuzungumzia yanayomkuta Lema... Ameshawahi hata kumtembelea gerezani?
Lile tangazo lako kuleee lishapata MWENYE SIFA?Vipi, rais aliwatembelea waathirika wa tetemeko kagera?
Tangazo la kuleee unalileta huku kwenye siasa?Lile tangazo lako kuleee lishapata MWENYE SIFA?
Nassari anasikika kwa ufasaha, na inavyoonekana fahamu zinamludia taratibu.Nassari yuko Masomoni nje ya nchi ndo maana hasikiki.
Kubenea nae yupo nje ya nchi ndio maana hasikiki au kaishiwa pumzi tu?