CR wa PROB
Senior Member
- Sep 21, 2011
- 170
- 29
Awali ya yote nipende kuwapongeza dada zangu kwa kuwa na mwamko wa Elimu!!
Pili nichukue fursa hii kuwaomba dada zangu kuwa wakati tunapoelekea kufungua vyuo tunaomba muache kuvaa nusu Uchi!!! kiukweli mimi kwa nafsi yangu huwa nakereka sana pindi ninapomwona msomi wa chuo kikuu amevaa nguo ambayozo hazina mfano wa uigwa na jamii inayotuzunguka, Nijuavyo mimi msomi anatakiwa awe ni kielelezo bora cha maadili kwa jamii inayotuzunguka lakini kwa bahati mbaya kwa sasa akina dada wengi hilo swala wamelitupilia mbali na hadi jamii inayotuzunguka pindi waonapo mdada kavaa nguo fupi au suruali inayombana sana huwa wanasema huyu ni MWANACHUO, Hivyo basi hata kama nchi yetu ina uhuru wa mavazi naombeni muweze kujirekebisha ili wadogo zetu waweze kuiga kwenu!!
Naomba kuwasilisha!!!
Mungu ibariki Africa, Mungu ibariki Tanzania na Mungu wabariki akina dada wa vyuo vikuu waweze kuwa na mavazi ya heshima!!!
Pili nichukue fursa hii kuwaomba dada zangu kuwa wakati tunapoelekea kufungua vyuo tunaomba muache kuvaa nusu Uchi!!! kiukweli mimi kwa nafsi yangu huwa nakereka sana pindi ninapomwona msomi wa chuo kikuu amevaa nguo ambayozo hazina mfano wa uigwa na jamii inayotuzunguka, Nijuavyo mimi msomi anatakiwa awe ni kielelezo bora cha maadili kwa jamii inayotuzunguka lakini kwa bahati mbaya kwa sasa akina dada wengi hilo swala wamelitupilia mbali na hadi jamii inayotuzunguka pindi waonapo mdada kavaa nguo fupi au suruali inayombana sana huwa wanasema huyu ni MWANACHUO, Hivyo basi hata kama nchi yetu ina uhuru wa mavazi naombeni muweze kujirekebisha ili wadogo zetu waweze kuiga kwenu!!
Naomba kuwasilisha!!!
Mungu ibariki Africa, Mungu ibariki Tanzania na Mungu wabariki akina dada wa vyuo vikuu waweze kuwa na mavazi ya heshima!!!