Nasaha za Baba wa Taifa

yaan mapokezi aliyopewa Nyerere yanaonesha jinsi nchi zetu enzi hizo zilivokuwa zinatuchukulia siriaz, sasa sku hizi wanenda marais wetu mara wanapokelewa na ma meya, madiwani, mawaziri wa michezo some times wanatumwa mpaka ma headmaster kupokea viongozi wetu.
inatakiwa kama nchi tuwe na viongozi siriaz wenye misimamo, wenye maono, wanao jiheshimu wao kwanza wanao heahimu demokrasia na uhuru wa maoni, hakika hata mataifa mengine yata tuheshimu.
 

Sikuwahi kujua kama Mwalimu alipata mapokezi makubwa kiasi hiki WH. Dah!

Mkuu nimeona hii Video hakuna shaka kujiridhisha kuwa Tanganyika ya Nyerere ilikuwa inachukuliwa kama the great power.Ukizingatia mchango wake mkubwa katika kuleta uhuru wa mataifa Mengine ya Afrika,Viva Mwl Nyerere huko uliko.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mwalimu ilikuwa ni za wafu ya Mungu kwa Watanzania. Pamoja na mapungufu yake mbali mbali lakini siku zote aliweka maslahi ya Watanzania na Tanzania mbele ukilinganisha na hawa wahuni na mafisadi wengine wanaotumia nyadhifa zao kujitajirisha kwa njia haramu.

Mkuu nimeona hii Video hakuna shaka kujiridhisha kuwa Tanganyika ya Nyerere ilikuwa inachukuliwa kama the great power.Ukizingatia mchango wake mkubwa katika kuleta uhuru wa mataifa Mengine ya Afrika,Viva Mwl Nyerere huko uliko.
 
Shukrani Mkuu kuna moja nimeona mahali nimeitafuta sana utube lakini sijafanikiwa. Inahusu kutwambia Watanzania tusiwe waoga kuwakabili madikteta watakaokuwa madarakani. Kwa hali ya nchi yetu ilivyo sasa utadhani Mwalimu aliliona hilo la kutawaliwa na dikteta. Hiyo ya FB nikiiweka hapa wengi hawataweza kuifungua.

 
Shukrani Mkuu kuna moja nimeona mahali nimeitafuta sana utube lakini sijafanikiwa. Inahusu kutwambia Watanzania tusiwe waoga kuwakabili madikteta watakaokuwa madarakani. Kwa hali ya nchi yetu ilivyo sasa utadhani Mwalimu aliliona hilo la kutawaliwa na dikteta. Hiyo ya FB nikiiweka hapa wengi hawataweza kuifungua.
Mimi nilisoma maandishi mpaka nikawa na shaka kama ni Nyerere kweli.

Lakini nilivyokumbuka debate zake Makerere na Edinburgh, Fabian Society na alivyopenda kumsoma John Stuart Mill nikasema si ajabu.

Tatizo huyu wa sasa sijui hata kama John Stuart Mill kashawahi kumsikia au anaelewa Fabian Society inasimamia nini.

Hiyo ya FB ni video?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ndiyo Mkuu ni video tena chanzo chake ni TBC. Nitaendelea kuitafuta Mkuu natumai nitaipata.

Mimi nilisoma maandishi mpaka nikawa na shaka kama ni Nyerere kweli.

Lakini nilivyokumbuka debate zake Makerere na Edinburgh, Fabian Society na alivyopenda kumsoma John Stuart Mill nikasema si ajabu.

Tatizo huyu wa sasa sijui hata kama John Stuart Mill kashawahi kumsikia au anaelewa Fabian Society inasimamia nini.

Hiyo ya FB ni video?
 
Back
Top Bottom