Nasaha kwa kizazi kipya

manonawire

JF-Expert Member
Dec 31, 2017
943
1,216
Ishi kwa busara/ nasaha kwa kizazi kipya n kitabu kilichoandikwa na askofu wa mbinga(EMMANUEL MAPUNDA) na kuchapwa mwaka 2006 Julai 24

Kitabu hiki kinaelezea maswala ya mahusiano/ndoa,na mambo mengi yanayohusu ndoa,yafuatayo n machache mazuri yaliyomo ndani ya kitabu hiki;niende moja kwa moja kwny mada

Maneno 5 ambayo n kinga ya mahusiano
1/Nakupenda
2/Samahani
3/Ahsante
4/Pole
5/Hongera

Mambo ya kuzingatia ili kulinda mahusiano
1/Epuka kutoa adhabu kali
2/Usidharau ushauri na mawazo ya mwenzio
3/Epuka kuhodhi au kutumia vbaya pato la familia
4/Epuka kujenga nje ya ndoa mahusiano yenye kuvunja uaminifu
5/Usiwe mchokozi na mwenye tabia ya kukumbusha makosa ya kale aliyoyatenda mwenzio
6/Epuka tabia ya kutomshirikisha mwenzio mambo yahusuyo mipango ya baadae
7/Epuka kuwaza mabaya juu ya mwenzio
 
Hayo yote yanawezekana, ila Tatizo kubwa siku hizi kwenye mahusiano tunaishi kwa Kunyemeleana!(Kuliana Timing)
 
Kuna watu duniani ni wagumu kutamka neno " samahani" yaan mpaka alitamke kwa mwaka mara moja, najiuliza watu wana moyo gani? Mbona ni neno rahisi sana.

Kwenye mahusiano wanawake tuna moyo, mtu atakukosea yeye utajishusha uombe samahani ila unakuta mtu aelewi.

Wanaume ni wazito kutamka neno pole/ samahani/nakupenda sijui kwa nini?

Natoa nafasi kwa mtu mmoja/mwanaume atamke neno mojawapo hapo juu.maana maneno hayo yamekuwa magumu sana kuyatamka inabidi tuwafundishe hapa hapa.
 
Kuna watu duniani ni wagumu kutamka neno " samahani" yaan mpaka alitamke kwa mwaka mara moja, najiuliza watu wana moyo gani? Mbona ni neno rahisi sana.

Kwenye mahusiano wanawake tuna moyo, mtu atakukosea yeye utajishusha uombe samahani ila unakuta mtu aelewi.

Wanaume ni wazito kutamka neno pole/ samahani/nakupenda sijui kwa nini?

Natoa nafasi kwa mtu mmoja/mwanaume atamke neno mojawapo hapo juu.maana maneno hayo yamekuwa magumu sana kuyatamka inabidi tuwafundishe hapa hapa.
Pole sana.
 
Kuna watu duniani ni wagumu kutamka neno " samahani" yaan mpaka alitamke kwa mwaka mara moja, najiuliza watu wana moyo gani? Mbona ni neno rahisi sana.

Kwenye mahusiano wanawake tuna moyo, mtu atakukosea yeye utajishusha uombe samahani ila unakuta mtu aelewi.

Wanaume ni wazito kutamka neno pole/ samahani/nakupenda sijui kwa nini?

Natoa nafasi kwa mtu mmoja/mwanaume atamke neno mojawapo hapo juu.maana maneno hayo yamekuwa magumu sana kuyatamka inabidi tuwafundishe hapa hapa.
Mimi nasimama kama mwanaume ..haiwezekani kunifundisha kutamka wakati tulivyo kuwa watoto wadog wew kam mama ukunifundisha kutamka iweje leo nianze kutamka ovyo..
 
Kuna watu duniani ni wagumu kutamka neno " samahani" yaan mpaka alitamke kwa mwaka mara moja, najiuliza watu wana moyo gani? Mbona ni neno rahisi sana.

Kwenye mahusiano wanawake tuna moyo, mtu atakukosea yeye utajishusha uombe samahani ila unakuta mtu aelewi.

Wanaume ni wazito kutamka neno pole/ samahani/nakupenda sijui kwa nini?

Natoa nafasi kwa mtu mmoja/mwanaume atamke neno mojawapo hapo juu.maana maneno hayo yamekuwa magumu sana kuyatamka inabidi tuwafundishe hapa hapa.
ukisema samahani inamaanisha umekubali kosa......mengine mnatusingizia...... ila pole, hongera na asante....malizia na nakupenda.......wanaume hayo yamejaa kwenye midomo yetu mpaka hata na lafudhi za mahaba......
 
Ulishakuwa mkubwa tamka, hutaki nakuchapa viboko.
Mimi nasimama kama mwanaume ..haiwezekani kunifundisha kutamka wakati tulivyo kuwa watoto wadog wew kam mama ukunifundisha kutamka iweje leo nianze kutamka ovyo..
 
Back
Top Bottom