Nasafiriki kwenda Ivory Coast

Unaenda mji gani?
Ouagadugu ni poa sana.
Nenda na laini ya airtel maana unaweka vocha kwa hela zao na ukirudi salio unalikuta.
Menu zote ni za kifaransa.
Unaweza patia chakula 2 au vitatu ukajikuta umebaki hapo.
Trafic wao ni kivutio sana.
Barabara zao zina mpaka njia ya pikipiki na taa zina zamu ya pikipiki. Hawachangamani na magari.
Mkuu Ouagadugu haiko Ivory Coast!!
 
Usihofu kabisa mkuu utasafiri tu bila shida. Normally hawako keen kuangalia tarehe. Jambo la muhimu ni kuwa umeipata hiyo kadi ya njano, just in case. Ikibidi kuikagua wanaweza waangalie identify yako tu ili kujiridhisha kuwa kweli ni kadi yako.

Na kwa uzoefu wangu wa kwenda Ivory Coast mara nyingi ni kwamba Abidjan hawajawahi kuniomba niwaonyeshe kadi ya yellow fever hata mara moja. nimeenda. Labda tu uwe na damu ya kunguni aka bahati mbaya mkuu. Na kama ikitokea bahati mbaya itakuwa bahati mbaya kweli kweli kwasababu jamaa ni wala rushwa ile mbaya.

Kila la kheri
 
Andaa kama dola 30 kwa mfuko,nchi zote z kiafrica ni very corrupt.

True! Tena mimi naona West African countries ziko more corrupt. Ila naamini all will be well kwake na safari yake itakuwa poa. Anatakiwa ajiamini tu...badala ya kujishtukia shtukia hadi wamtilie shaka
 
anga
Wakuu nimepata Visa na ticket na nitasafiri na Shiriaka la ndege la Kenya kwenda Ivory Coast hofu yangu ni kuwa chanjo ya yellow fever ndio nimeipata leo,je nitaruhusiwa kusafiri maana wameandika inakua valid siku 10 baada ya kuchanjwa....wakuu kweli hapa nitakwea pipa?
Huko kuna kitu kinaitwa AGUTI aka panya jamaa wakula sana hii kitu
 
Usihofu kabisa mkuu utasafiri tu bila shida. Normally hawako keen kuangalia tarehe. Jambo la muhimu ni kuwa umeipata hiyo kadi ya njano, just in case. Ikibidi kuikagua wanaweza waangalie identify yako tu ili kujiridhisha kuwa kweli ni kadi yako.

Na kwa uzoefu wangu wa kwenda Ivory Coast mara nyingi ni kwamba Abidjan hawajawahi kuniomba niwaonyeshe kadi ya yellow fever hata mara moja. nimeenda. Labda tu uwe na damu ya kunguni aka bahati mbaya mkuu. Na kama ikitokea bahati mbaya itakuwa bahati mbaya kweli kweli kwasababu jamaa ni wala rushwa ile mbaya.

Kila la kheri
Asante sana mkuu
 
Mkuu, hilo swala ni uhai wako mi nko central africa -Cameroon-Yaounde, ila chanjo hiyo huwa ni kwa ulinzi wako maana hiyo homa hapo tz sio kiviiile ila huku central africa na ivory coast ni ugonjwa unaoua watu wengi, sasa next time na wanajamvi wote yaani kama unasafiri HAPO USIWEKE MBWEMBWE KABISAA IPATE KABLA YA SIKU HIZO MAANA UNAWEZA UKAUKATA UHAI HIVIHIVI , kuhusu kuruhusiwa mara nyingi watakuruhusu ila uwe tu na Maombi binafsi nasi tuzidi kukuombea.

Kila la kheri mkuu na "BON VOYAGE" Karibu kwenye Ufaransa ya Africa haaa haaaa maana kila mtu ni Bonjour na Ca va huku na huko Ivory haaa haaaa!!
 
Kila la kheri mkuu na "BON VOYAGE" Karibu kwenye Ufaransa ya Africa haaa haaaa maana kila mtu ni Bonjour na Ca va huku na huko Ivory haaa haaaa!!
Asante mkuu,nishaipata lakini nitaenda ikiwa na siku tano tu
 
Back
Top Bottom