Kutokana na mpambano mkali wa uchaguzi nchini Kenya nilazima NASA na Jubilee wote wajiandae ki psychologia. Jubilee awetiyali kuachia madaraka na NASA kukubali kushindwa kama ikitokea kutokana na wote kuwa na idadi kubwa ya watu. Ila naona kama hawa wa 10 million strong wanaweza chukua nchi kama uchaguzi utakuwa fair. Sababu nikwamba watu wanao wakubali niwale wahali duni nando wengi Kenya. Pili jubilee wanaonga sana mashabiki wao T-shirt na pesa kwa hiyo wapo nao kimasilai. Kwa sasa naona Jubilee pia wanaongelea sana nusu mkate. Hizo ni dalili za kushindwa. Lakini kutokana na Jubilee kushikilia mpini wanaweza kupindua matokeo. Nasikia wamesha anza kufundisha wasimamizi wao jinsi yakuiba kura. Pia hiyo kampuni yakutengeneza karatasi za kura uko Dubai inakashifa yakuiba kura nchini Zambia napia inamausiano ya karibu na Kenyatta family. Nasikia IEBC wanampango wakwenda Dubai. To do what??