Shy land
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 6,024
- 1,960
Hii jambo sasa nimenikela sana, na kila siku na lalamika kwamba hiyo tabia waache lakn hawaachi,
chama cha majambazi(ccm) wamenichafulia ukuta wa nyumba niliyotumia garama zangu na kupaka rangi lakn kila siku wanabandika mabango yao, je? wana jf naruhusiwa kuwafungulia kesi mahakamani.
chama cha majambazi(ccm) wamenichafulia ukuta wa nyumba niliyotumia garama zangu na kupaka rangi lakn kila siku wanabandika mabango yao, je? wana jf naruhusiwa kuwafungulia kesi mahakamani.