Naruhusiwa kuyafungulia kesi majambazi yaliyobandika bango kwenye nyumba yangu.

Hii jambo sasa nimenikela sana, na kila siku na lalamika kwamba hiyo tabia waache lakn hawaachi,

chama cha majambazi(ccm) wamenichafulia ukuta wa nyumba niliyotumia garama zangu na kupaka rangi lakn kila siku wanabandika mabango yao, je? wana jf naruhusiwa kuwafungulia kesi mahakamani.
Tatizo lako ni gongo hadi imekubabua midomo
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom