Nawatania
Senior Member
- Jul 13, 2021
- 148
- 549
Wakuu nauliza naweza weka jina 3 na lisilete shida yeyote kwenye mfumo wa kiserikali ikiwa vyeti vyangu vya shule na chuo vina majina mawili.
Wanasheria naombeni hatua ya kwanza kufanya ili niweze kuwa na majina matatu kwenye mfumo wangu wa majina.
Pia nauliza Kama haiwezi leta shida katika process za kuomba ajira serikalini kwenye mfumo?
Maana zamani ilikuwa kawaida kutumia majina mawili shule hata chuo.
Asante.
Wanasheria naombeni hatua ya kwanza kufanya ili niweze kuwa na majina matatu kwenye mfumo wangu wa majina.
Pia nauliza Kama haiwezi leta shida katika process za kuomba ajira serikalini kwenye mfumo?
Maana zamani ilikuwa kawaida kutumia majina mawili shule hata chuo.
Asante.