narudisha kadi

mutisya mutambu

JF-Expert Member
Nov 21, 2010
208
82
wana JF,leo hii natangaza rasmi mbele yenu kwamba kwa moyo wangu wote nimeamua kurudisha kadi ya jamvi lile la sura ya kitabu najiunga nanyi great thinkers nijifunze mengi kutoka kwenu,nikue vizuri nami niyaweze.yani jf ni zaidi ya yote,hakuna jamvi kama hili,ukiniuliza greatthinkers wako wapi? nitakwambia nioneshe jamiiforum iko wapi uwaone.hodini jamani!
 
Karibu sana tunategemea tutafaidika na uwepo wako hapa jamvini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom