johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 96,400
- 169,071
Ni angalizo tu sisi tunaoangalia kwa jicho la rohoni tunaiona mbali sana
Uchaguzi ujao kila tutakapojikwaa tutategemea Ushauri na Uzoefu wa mstaafu mmoja tu aliyebaki Mzee wetu mpendwa JK
Wapinzani watapokea Wanaccm wengi watakaofeli kura za maoni kama ilivyokuwa 2015
Ahsanteni Sana 🐼
cc: mzee Mgaya
Uchaguzi ujao kila tutakapojikwaa tutategemea Ushauri na Uzoefu wa mstaafu mmoja tu aliyebaki Mzee wetu mpendwa JK
Wapinzani watapokea Wanaccm wengi watakaofeli kura za maoni kama ilivyokuwa 2015
Ahsanteni Sana 🐼
cc: mzee Mgaya