Pre GE2025 Narudia tena Uchaguzi wa 2025 utakuwa mgumu sana Usidanganyike na Siasa za 2030!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni angalizo tu sisi tunaoangalia kwa jicho la rohoni tunaiona mbali sana

Uchaguzi ujao kila tutakapojikwaa tutategemea Ushauri na Uzoefu wa mstaafu mmoja tu aliyebaki Mzee wetu mpendwa JK

Wapinzani watapokea Wanaccm wengi watakaofeli kura za maoni kama ilivyokuwa 2015

Ahsanteni Sana

cc: mzee Mgaya
Kila mwaka wa uchanguzi ni hizo huzo kauli ila ukiisha ndo mnaanza lazima tuwe na tume ua uchanguzi huru, baada ya kushuhudia kushindo cha 70% hi nchi yangu ni raha tu
 
Ni angalizo tu sisi tunaoangalia kwa jicho la rohoni tunaiona mbali sana

Uchaguzi ujao kila tutakapojikwaa tutategemea Ushauri na Uzoefu wa mstaafu mmoja tu aliyebaki Mzee wetu mpendwa JK

Wapinzani watapokea Wanaccm wengi watakaofeli kura za maoni kama ilivyokuwa 2015

Ahsanteni Sana 🐼

cc: mzee Mgaya
Maeneo machache tu. Ngorongoro, Arusha, Moshi, Mbeya, Iringa na mwanza. Kwingineko kote CCM inashinda misa ya kwanza tu na Samia anaendelea hadi 2030.
 
Ni angalizo tu sisi tunaoangalia kwa jicho la rohoni tunaiona mbali sana

Uchaguzi ujao kila tutakapojikwaa tutategemea Ushauri na Uzoefu wa mstaafu mmoja tu aliyebaki Mzee wetu mpendwa JK

Wapinzani watapokea Wanaccm wengi watakaofeli kura za maoni kama ilivyokuwa 2015

Ahsanteni Sana 🐼

cc: mzee Mgaya
Jo mara hii unaliwa kichwa na wajumbe ukiwa jimbu la muishimiwa mmbeya,ama lindo,ama chatu.
 
Ni angalizo tu sisi tunaoangalia kwa jicho la rohoni tunaiona mbali sana

Uchaguzi ujao kila tutakapojikwaa tutategemea Ushauri na Uzoefu wa mstaafu mmoja tu aliyebaki Mzee wetu mpendwa JK

Wapinzani watapokea Wanaccm wengi watakaofeli kura za maoni kama ilivyokuwa 2015

Ahsanteni Sana 🐼

cc: mzee Mgaya
Kwanza huyo mzee mstaafu siyo mpendwa kwa wote. Labda kwako wewe.
 
Ni angalizo tu sisi tunaoangalia kwa jicho la rohoni tunaiona mbali sana

Uchaguzi ujao kila tutakapojikwaa tutategemea Ushauri na Uzoefu wa mstaafu mmoja tu aliyebaki Mzee wetu mpendwa JK

Wapinzani watapokea Wanaccm wengi watakaofeli kura za maoni kama ilivyokuwa 2015

Ahsanteni Sana 🐼

cc: mzee Mgaya
Yawezekana uko sahihi ndio mana hata ushirikina umeanza mapema 😄😄😄
 
Back
Top Bottom