Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Nilishawahi kueleza tena hapa, na wachangiaji wengi wakaunga mkono. Nimeshapiga customer service zaidi ya mara tano kuhusu hili tatizo, bila mafanikio...
Can you imagine.... Nina mgonjwa na nataka kuwasiliana na daktari kwa dharura, napiga namba yake ya tigo, mara naanza kusikia ...'Mpendwa mteja, tigo inakupa ofa maalum kupitiga huduma ya tigo extreme, piga *1.....' Yaani wakati nataka nijue nini hatma ya simu yangu ninayopiga nakutana na matangazo ya biashara chungu nzima... nalazimika kusubiri kwa sekunde zaidi ya 30, ndipo nije niambiwe 'namba ya simu unayopiga, haipatikani kwa sasa'!!!
Yaani nimenunua simu kwa hela yangu, nimeweka vocha kwa hela yangu lakini pale ninapotaka kuitumia, naanza kupewa hadithi za vitu ambavyo kwangu sio muhimu kwa wakati ule!!! Is it fair?
Nauliza jamani, Huu ni uungwana? Yaani napiga simu, nina haraka zangu lakini nalazimika kusikiliza kwanza matangazo ya biashara!!!, ni uungwana jamani huu?
Tigo kwa sasa wana majivuno kwa sababu wana wateja wengi. Lakini wasisahau kuwa miaka kadhaa iliyopita airtel nao walikuwa na wateja wengi na wakaanza kuvimba kichwa na kudharau wateja. Waangalie jinsi airtel wanavyoteseka leo...
Can you imagine.... Nina mgonjwa na nataka kuwasiliana na daktari kwa dharura, napiga namba yake ya tigo, mara naanza kusikia ...'Mpendwa mteja, tigo inakupa ofa maalum kupitiga huduma ya tigo extreme, piga *1.....' Yaani wakati nataka nijue nini hatma ya simu yangu ninayopiga nakutana na matangazo ya biashara chungu nzima... nalazimika kusubiri kwa sekunde zaidi ya 30, ndipo nije niambiwe 'namba ya simu unayopiga, haipatikani kwa sasa'!!!
Yaani nimenunua simu kwa hela yangu, nimeweka vocha kwa hela yangu lakini pale ninapotaka kuitumia, naanza kupewa hadithi za vitu ambavyo kwangu sio muhimu kwa wakati ule!!! Is it fair?
Nauliza jamani, Huu ni uungwana? Yaani napiga simu, nina haraka zangu lakini nalazimika kusikiliza kwanza matangazo ya biashara!!!, ni uungwana jamani huu?
Tigo kwa sasa wana majivuno kwa sababu wana wateja wengi. Lakini wasisahau kuwa miaka kadhaa iliyopita airtel nao walikuwa na wateja wengi na wakaanza kuvimba kichwa na kudharau wateja. Waangalie jinsi airtel wanavyoteseka leo...