mutu murefu
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 913
- 2,250
Sasa nongwa iko wapi pale? Wewe umekuja kusema ni movie kali naye anasema ni movie mbovu, ukaanza masuala ya wao wanatengeneza hela. Wewe unayeitetea unatengeneza shilingi ngapi. Kwani lazima kila unachokubali kikubalike
yani hawa jamaa wanataka kila mtu akubaliane na mawazo yao.
sasa kama kitu me nimeona kibaya je tatizo liko wapi? yeye yuko sahihi kusema ni nzuri kwa mtazamo wake na mm niko sahihi kusema mbaya kwa mtazamo wangu