Narudia tena, Mke wa mtu ni sumu

Mke wa mtu mtamu bana alafu anasema kaimisi ngoja amtyme mumewe tukaenjoy jamanii mie karma inanijazia malimbikizi ya malipo yangu 😢😢
 
Asalaam Aleikum wadau wa hili jukwaa pendwa, Hopeful mko poa..Oyaaaa. Tuachane na wake za watu aysee.

Hapa nilipopanga Kuna jamaa mpangaji mwenzangu ana mke, Mke wake yuko hivi kinoma yani achana nae kabisa braza, Dem ni black beauty fulani,ana dimples mashavuni,kiuno chembamba isivokawaida aaf hips zimefumuka kama Mnyarwanda flani ivi,Nyuma ya magoti ana vishimo vinavyoniachaga hoi Kik+ma,Umeona ile pale?

Nzuri zaidi Waga ananielewaga kinoma ani maana Mimi ni mpenzi sana wa kuvaa vibukta kuliko suruali..Nna vikaptula vyangu vya Versace, Lui Vuitton, Adidas, Lacoste vya rangi nyeusi,Blue, Nyekundu,Njano pamoja na vya jeans sasa ambazo zilikuaga suruali nikazikata.

Sasa nikifuaga anapendaga kuniuliza "mbona unakaptula nyingi ivi na unapenda sana kuvaa kaptula kama mtoto japo waga zinakupendeza sana had nakutamani".. Nilimuuliza unanitamanije akati we ni mke wa mtu? Akasema " Eish..!!Kwani nna alama Usoni kuwa ni mke wa mtu?"..Nikasema Kubalababaake apa lazima niishi kivyovyote vile. Jamaa atanisamehe bure haiwezekani demu aniletee sahani mezani aaf nijifanye sihitaji si ataniona zamwamwa??..

Bas Jana mumewe alipotoka2 demu kazama chumbani kwangu nikaanza kumuandaa hadi akawa tayari kaishiwa hadi nguvu kila kitu anaitika2 ata ningemwambia nimwekee pilipili machoni angesema "Weka na Tangawizi baby",, Sa ile nataka kusokomeza mashine pekupeku akawa mbogo ghafla " Kinga iko wapi?Siwezi Fanya bila kinga nipo kwenye siku za hatari ntapata mimba",Nikamwambia kwani unaogopa kuzaa?Si ntalea2,,Akasema "Ngareroo hapana,unajua wewe ni msomali na kwenye hii nyumba msomali niwewe2.

Sa mtoto akizaliwa lazima2 kila mtu atajua ni wako!!,bora ungekua M'bantu kama sisi mume wangu angejua ni mwanae pasi na shaka",, Nikaona ana point bas nikatoa Fiesta Condom nikaanza kuzagamua,,Peleka moto nikaunganisha bao mbili mwendo kama wa hapa na Matejoo,Nakuja mwaga bao la pili nikahisi kama kiuno kimekatika naelea juu kwa kiwiliwili,Aaf kwenye maskio kama kuna moto wa utamu unipita iviapo ni baada ya dakika45..

Narudia tena " Somebody's wife iz poison/harmful "..Cha kushangaza nakuja chomoa dushe condom siioni,Tafuta mno chini labda ilichomoka ikadondoka lakini wapi?Manzi nae akahaha anataka animeze au anichome moto anauliza Kinga iko wapi au sikuvaa??,,Dem kashuka chini akachuchumaa akaingiza vidole viwili kwenye Papuchi aichomoe labda imezama ndani lakini wapi?

Akaanza kulia pale hadi makamasi,Nikamwambia alale chali atanue miguu niweke mdomo wangu kwenye puchi niivute ndomu kama imezama itatoka2,,Nilivuta(Sip)kama nafyonza juisi kwa mrija lakini wapi??Dem ndo kazidisha kilio,kumbe dem mzuri akiangua kilio anafanana na Josh Onyango usoni..Huku akisema " Msomali Mimi ntamwambia nini mume wangu akitaka mzigo Leo ucku.

Nikimpa atazidi kuisokomeza hii Condom tumboni bila kujua,Nikimwambia ukweli ataniua jamani,Nipe hela niende hospitali saivi nikatolewe"..Kidume apo nawaza nihame au nigeuke mbu nipotee katika mazingira tatanishi..Nilimpa elfu30 aende hospitali kabla mumewe hajarudi,,Lakini kama dakika10 akanitumia sms "Woow imetoka my,Nimechuchumaa kukojoa ikatoka".. Hela yangu akanirudishia..

Tangia Jana staki tena mazoea na mke wa mtu..
We kwanza sio msomali bali mtu wa kusini hasa songea, nyambaafu
 

Similar Discussions

15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom